Kibaha highway kwa elimu yangu ya ngumbaro ilitakiwa iwe na underpass, kwa ajili ya wapita kwa miguu na gari zinazo negotiate kuingia au kutoka njia kubwa.
Huwa naumia sana wasomi wetu, who always brags about how many degrees they have, wanapofanya maamuzi ya ajabu Kama haya.
Kibaha highway itajaa zebra cross na pengine matuta na trafic lights kwa baadhi baadhi ya sehemu, honestly sioni mantiki ya zile round abouts wanazo Jenga Sasa, ni useless ana elsewhere it is not popular.
Na ndio sababu nikasema ikishakamilika itabidi tu iwekwe matuta, no way
Kikuyu bypass ya Kenya Ina km 28, na hakuna sehemu watu wanavuka kuikatisha japo inapita suburbs za Kibera.
Mitanzania na inferiority complex ππππππ, umasikini wa kifikra ni chanzo Cha huu Uzi., kisa Kenya is ahead, blind patriotism on steroids.ππ
Na kuna mtu anataka kulinganisha Nairobi na Dar road network., haiwezekani, ni BRT tu ndio wajigambe nayo.., mengine wafyate.Wacha kutoka kwa mada ulisema kibaha itakuwa barabara pana kabisa africa mashariki, ilhali itakuwa ndogo kwa Thika road ambayo ilijengwa 2010.
NB: Hiyo msonagamano ni kwa sababu watu wamenunua magari mengi vile Uchumi wa Kenya unazidi kuimarika. sio thika road pekee hata Mombasa road, ngong road ambazo ni 6 lane highways ziko hivo masaa ya asubuhi na jioni. Hii ndiyo sababu serikali inakarabati reli ya nairobi na kununua treni 11 kutoka spain kuzuia watu kuja na magari yao mpaka CBD. Treni hizi zinatasafirisha abiria milioni tatu kila mwezi Nairobi. Pia ndiyo sababu ya serikali kujenga southern, eastern, northern na western bypass ambazo ni dual carriage highways ( 100 km) za kuzunguka nairobi. Pia inajenga waiyaki way upya kufika mpaka rironi kuwa 6 lane highway, na pia Nairobi expressway(dual carriage elevated highway) ambayo itapaa juu ya mombasa road ,waiyaki way na james gichuru.
Inafurahisha wajenzi na wasimamizi ni Wahandisi wa Tanzania .Kimara kibaha highway
Contractor : Estim
Consultant : Tanroad..
Employer : Tanroad
Project Manager.. Tanroad
Kama ulaya kumbe ni africa !!ππππ[emoji8][emoji8]View attachment 1973926View attachment 1973928
πππAcha kulinganisha ulaya ni vitu vya ajabu ajabu..[emoji1787][emoji1787]
Ziko wapi 12 lanes?nionyeshe nifunge account jamii forumsIts 12 line at its widest .....stupidy
Just stick with your super shithole with 10 line at its widest[emoji706]
Juakali with no service lanes, overpasses, flyovers, footbridges,[emoji8][emoji8]View attachment 1973926View attachment 1973928