Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Muandishi wa hiyo makala hana Akili Kabisa kwanza umaskini uliyokithili huku mtaani ndo unapelekea uashelati na mambo chungumzima yanazuka na kuendelea kwenye jamii anazungumzia uwezeshwaji kwa vijana wapewe pembejeo n maeneo wawekezee kwenye kilimo ivi kabla hajaandika aliuliza mwaka uliyopita 2021 na mwanzoni wa 2022 nini kiliwasibu wakulima na mpka kupelekea baadhi yao kuachana n suala la kilimo n baadhi kuendelea kuwekeza kwa kujaribu kwa hofu hofu.

Umaskini au ukata unaopelekea mpka watu kuuza mili yao ni matokeo ya serikali husika iliyo madarakani na ndo maana takwimu za maambuzi ya VVU zinaanza na kuendelea kututafuna kidogo kidogo na mifumo mibovu iliyo nchini kwetu itaangamiza sana vizazi vinavyokuja maana ni mifumo ya kufaidika Kwa wachache na maumivu kwa wengi
 
Kuna mtaa huko Tandika maeneo ya Davis corner hatari.

Sehemu za nyuma mabinti wanauza mpaka kwa sh. Elfu 1. Yaani ile afutatu unapata mademu 3 unawafanya sehemu za nyuma .

Serikali iwaondoe Mijini vijana wote wa kike na kiume wasio na kazi rasmi.

Iwapeleke kwenye mashamba maalumu ya kimkakati. Uhitaji wa chakula barani Afrika na duniani bado ni mkubwa.

Tumeshindwa kwenye Sayansi na teknolojia ili kukuza viwanda basi tujikite kwenye kilimo ambacho hakihitaji utaalamu wa juu sana.

Hawa mabinti wanaouza kwa elfu moja na vijana wanaobeti kisha wakipata pesa wanaenda kuzini wahamishwe Mijini.

Kila kijana akipewa ekari 2 vitendea kazi na ruzuku ya mbolea pamoja na pesa ya kula awapo shambani bila kusahau kuwaajiri maafisa ugani ambao watakuwa wanapita shamba hadi shamba.

Nchi itasonga mbele, vijana watasonga mbele.

Wawekezaji wataweka viwanda nchini wakiwa na uhakika wa malighafi.

Fedha za kununua ndege 4 tu za abiria zingechepushwa kwa kuanzisha mashamba ya kimkakati taifa hili lingemiliki soko la chakula barani Afrika.
Gezaulole mama geza ulole baba ,biashara ya ubuyu na karanga haitufai ohhoooo ,geza ulole mama geza ulole baba ,twendeni kibugumo na mwanadilato makao mapya.
 
Panda gar njoo Barabara ya mwinyi yombo nasikia Napo pamewaka syo kitoto Bei elekez tsh 500

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Astaghafillulah
images-506.jpg
 
Muandishi wa hiyo makala hana Akili Kabisa kwanza umaskini uliyokithili huku mtaani ndo unapelekea uashelati na mambo chungumzima yanazuka na kuendelea kwenye jamii anazungumzia uwezeshwaji kwa vijana wapewe pembejeo n maeneo wawekezee kwenye kilimo ivi kabla hajaandika aliuliza mwaka uliyopita 2021 na mwanzoni wa 2022 nini kiliwasibu wakulima na mpka kupelekea baadhi yao kuachana n suala la kilimo n baadhi kuendelea kuwekeza kwa kujaribu kwa hofu hofu.

Umaskini au ukata unaopelekea mpka watu kuuza mili yao ni matokeo ya serikali husika iliyo madarakani na ndo maana takwimu za maambuzi ya VVU zinaanza na kuendelea kututafuna kidogo kidogo na mifumo mibovu iliyo nchini kwetu itaangamiza sana vizazi vinavyokuja maana ni mifumo ya kufaidika Kwa wachache na maumivu kwa wengi
Safi nakwamaana hiyo ccm itoke madarakani kwa namna yoyote hili kuokoa jahazi maana miaka zaidi ya sitini lakini bado imeshindwa kwa sera zake mbovu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Muandishi wa hiyo makala hana Akili Kabisa kwanza umaskini uliyokithili huku mtaani ndo unapelekea uashelati na mambo chungumzima yanazuka na kuendelea kwenye jamii anazungumzia uwezeshwaji kwa vijana wapewe pembejeo n maeneo wawekezee kwenye kilimo ivi kabla hajaandika aliuliza mwaka uliyopita 2021 na mwanzoni wa 2022 nini kiliwasibu wakulima na mpka kupelekea baadhi yao kuachana n suala la kilimo n baadhi kuendelea kuwekeza kwa kujaribu kwa hofu hofu.

Umaskini au ukata unaopelekea mpka watu kuuza mili yao ni matokeo ya serikali husika iliyo madarakani na ndo maana takwimu za maambuzi ya VVU zinaanza na kuendelea kututafuna kidogo kidogo na mifumo mibovu iliyo nchini kwetu itaangamiza sana vizazi vinavyokuja maana ni mifumo ya kufaidika Kwa wachache na maumivu kwa wengi
Hii nchi haina future , ni failed state
 
JE unafikiri hao wawekezaji wakija hawana uhitaji wa hizo mbususuu za bei rahisi? Na je unavyowaona hao vijana wanaouza na hao wanaonunua wana uwezo wa kufanya kilimo? Unafikiri hasa shida yao ni kulima? Nini chanzo cha wao kuwa hapo, Je ni kweli ni umasikini ama Ni roho chafu? Tafakari njema
 
Sikusahau huko kamwe sokota enzi hizo jero wee demu alinikimbia ndan baada ya wenzake kumwambia kuna mapolisi wanakuja wee nlivaa nguo kumbe kondom sijatoa nafika home navua nguo ndo nashtuka af nlikuwa na demu ndani ila hakuona,sina hamu tena na nkaachaga kwenda
sometimes hakuna polisi wanaovamia wala nini, ni mbinu yao tu ya kukimbia na hela za watu.

nakumbuka mwaka fulani night kali, tayari nimeshampa malaya chake, kila mtu akawa anavua nguo kwa ajili ya shughuli, alivyoanza nivalisha kondom akaanza kuniambia, "khee!, wewe kaka, lote hili?!, nitaweza kweli?"

baada ya kuanza shughuli kupiga mikito miwili mitatu kabla hata sijakojoa nikashangaa mtu kakurupuka anatoka mbio. roho iliniuma hela nimetoa bure halafu sijakojoa. nikawa nataka kuchukua chupi lake nikaliuze, lakini nikaona hakuna atakayenunua kwasababu lilikuwa limechanika katikati halafu jeusi.

kwahiyo, sometimes hawakimbii polisi, ni mbinu tu ya kukimbia na hela za watu.
 
Back
Top Bottom