Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Mtoa mada inaelekea hata hiyo mitaa sio mwenyeji hapo devis corner zaidi kuna baa maaruf ya Mpo Africa, sana sana hapo wale mabahasha wanaopenda wanaume wenzao ndio chimbo lao hapo kuna mashoga kama wotee usiwachuze wenzako.
"Mabasha wanaopenda wanaume wenzao"

Kweli dunia imefikia pazuri..
 
Hii ipo maeneo ya goba huko..yani watu wanaongea as if ni kitu cha kawaida sana...kwangu hata kutamka tu ni tatizo.
Hilo ni jina group la telegram ndio linaitwa hivyo MkunduBuku kwenye hilo group wamejazwa Malaya wachafu cheap cheap hata 5000/- unaenda kulala nae ila ni wachafu vibaya gono na kaswende nje nje lakini hakuna Malaya wanaouza uchi buku, acheni hizo promotion
 
Wabongo kwa kuwaza mpo vizuri. Yan umeona hao wanaojiuza Ila wanaoibafedha za umma ujawaona? Huko mashamban unapotaka wapelekwe tambua utazua umalaya mwingine mpya(kama sio kuuziana wao kwa wao watawauzoa wasimamiz wa ayo mashamba)
Pili tambua ukiwaondoa utazalisha yanga jingne jipya maana wateja wao sio wote ni majobless na masingle wengine ni wanandoa, sasa sijui ata nataka kusemeje
 
Back
Top Bottom