Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Sandali Ali utakua una undugu na SHETANI BABA WA UONGO yaan wewe ni MUONGO shetani anachukua lecture kutoka kwako umbwa wewe ni MUONGO alafu sijui unatuona humu wote sisi ni watoto km wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo huko kwenye huo ushetan??kwani inakuwaga bei gani ?
Ni kweli, si unasoma hapa jinsi watu walivyohamasika na kutaka kulijua hilo eneo husika?!!Umalaya ni mtu kukumbwa na roho chafu au kuuza nafsi yako kwa shetani na sio sababu ya ugumu wa maisha.
Malaya hata umpe mtaji wa milioni 30 zitaisha baada ya miezi 3 na ataendelea kuuza. Ni Sawa na kibaka au mwizi hata umpe milioni 100 zitaisha kwenye starehe ataendelea na wizi.
Hayo ni ishu ya maadili zaidi na sio umasikini. Pana watu Wana maisha magumu zaidi yao lakini awajiuzi wala awaibi.
Njoo ila uje na tahadhari Dar, maana kwe vichochoro, Wakabaji nao, hutafuta malisho yao.itabidi mwezi huu wa 12 nije dar kama siku 5 hivi
Ufuska bwana wewe vijana twende shambanmufanya nini bwana wewe. Hao wazee wetu wameshindwa kilimo mpaka leo ndio tuweze sieKwenye ufuska au mpango wa shamba la Serikali?
Jibu swali mwanamke sio unaruka ruka km unabet, unasapoti usivyovijua shenzi type kula kula unajua kula wewe tunazungumzia issue za kula au kuliwa jicho? Jibu swali ukipewa buku ufukuliwe kisima utatoa hilo jicho lako lifokolewe?Muwe mnakula jamani mchana hii itapunguza migogoro isiyo na lazima
DaaaahhhSandali Ali utakua una undugu na SHETANI BABA WA UONGO yaan wewe ni MUONGO shetani anachukua lecture kutoka kwako umbwa wewe ni MUONGO alafu sijui unatuona humu wote sisi ni watoto km wewe?
Siwezi kununua malaya hata iwejeNdio hakuna kitu km hicho jichanganye na buku yako ukageuzwe wewe uwe shoga,
Wewe umbwa nitake radhi nimekwambia mimi sio mtoto km wewe, umbwa weweDaaaahhh
Kwahiyo wewe unauza bei gani ?
Kama huu ni uongo tuambie bei yako
🤣🤣#Mkundubuku 🤔🙄
😂🤣
🤣🤣🤣kwani inakuwaga bei gani ?
🤣🤣🤣🤣Huwa unatumia sh ngapi?
Wazo zuri sana ila sema tu wakifika huko kazi yao itakua wanawapa wafanyakazi ili wanye kazi bila malipo kwahyo mchezo mchafu bado utakuwa unaendelea tu palepaleKuna mtaa huko Tandika maeneo ya Davis corner hatari.
Sehemu za nyuma mabinti wanauza mpaka kwa sh. Elfu 1. Yaani ile afutatu unapata mademu 3 unawafanya sehemu za nyuma .
Serikali iwaondoe Mijini vijana wote wa kike na kiume wasio na kazi rasmi.
Iwapeleke kwenye mashamba maalumu ya kimkakati. Uhitaji wa chakula barani Afrika na duniani bado ni mkubwa.
Tumeshindwa kwenye Sayansi na teknolojia ili kukuza viwanda basi tujikite kwenye kilimo ambacho hakihitaji utaalamu wa juu sana.
Hawa mabinti wanaouza kwa elfu moja na vijana wanaobeti kisha wakipata pesa wanaenda kuzini wahamishwe Mijini.
Kila kijana akipewa ekari 2 vitendea kazi na ruzuku ya mbolea pamoja na pesa ya kula awapo shambani bila kusahau kuwaajiri maafisa ugani ambao watakuwa wanapita shamba hadi shamba.
Nchi itasonga mbele, vijana watasonga mbele.
Wawekezaji wataweka viwanda nchini wakiwa na uhakika wa malighafi.
Fedha za kununua ndege 4 tu za abiria zingechepushwa kwa kuanzisha mashamba ya kimkakati taifa hili lingemiliki soko la chakula barani Afrika.
Sema unataka lokesheni mtaniSandali Ali utakua una undugu na SHETANI BABA WA UONGO yaan wewe ni MUONGO shetani anachukua lecture kutoka kwako umbwa wewe ni MUONGO alafu sijui unatuona humu wote sisi ni watoto km wewe?
Kwani we huwa unatoa KWA shingapi?Hkn aisee Joan hakuna tigo ya buku nakata kbsaa
Hamna sitaki location mimi mtani 😂Sema unataka lokesheni mtani