Mwaka huu tunawapiga nje-ndani! Tutahakikisha mnajamba cheche!Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji, Cha Domo na lisu Ni kelele za chura tu
Nyie Ni losersMwaka huu tunawapiga nje-ndani! Tutahakikisha mnajamba cheche!
Endeleeni kutumia ubabe kwenye haki hamwezi kushinda punda nyie!Nyie Ni losers
Sheikh njaa ya minyoo inamsumbua ni wa kupuuzwa tu huyoTanga, Tanzania
Sheikh Makarama atetea Maendeleo ya Vitu
Sheikh maarufu wa jiji la Tanga atetea sera za mgombea wa CCM Urais kwa kuleta maendeleo ya miundo mbinu.
Fact. Fatilia maneno ya wanaccm ndio utajua jamaa kawakamataje. Yaani wanahangaika[emoji23][emoji23]Huyu jamaa kila neno analoongea linatafakarisha na ni chakula cha ubongo!
Yaani Lissu sasa anawazindua watanzania kutoka katika usingizi mzito wa propaganda za Jiwe na chama chake!
Huyu jamaa ukiangalia impact aliyoleta tangu arejee, unaanza kuelewa kwa nini alimiminiwa zile risasi, kuna watu anawanyima usingizi haswa.Elimu ya kiuraia ya wiki moja kutafuta wadhamini na kuchukua fomu, tayari CCM wanagwaya.
Je siku 60 mfululizo za kampeni CCM Mpya si itazimia!
Ngoja waamini mafuriko.Bado munaamini kwenye siasa za mafuriko? Muulizeni Slaa na Lowassa. Ccm itashinda asubuhi tu.
Huyu jamaa kila neno analoongea linatafakarisha na ni chakula cha ubongo!
Yaani Lissu sasa anawazindua watanzania kutoka katika usingizi mzito wa propaganda za Jiwe na chama chake!
Elimu ya kiuraia ya wiki moja kutafuta wadhamini na kuchukua fomu, tayari CCM wanagwaya.
Je siku 60 mfululizo za kampeni CCM Mpya si itazimia!
Huyu jamaa ana kipaji na uwezo mkubwa wa kujieleza, achana na yule mwingine aliyepewa mahari ya jogoo kwa kumuozesha mama yake.
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji, Cha Domo na lisu Ni kelele za chura tu
Ndio tunampa kura sasaKelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji, Cha Domo na lisu Ni kelele za chura tu
Ukimwangalia LISU kwa macho yako na kisha ukafikilia kile alichofanyiwa (SHAMBULIZI), Hakika lazime useme kuwa MUNGU anafanyakazi kwenye maisha ya watu hapa duniani.Leo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.
Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.
Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.
Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM
Pole msukule wa Cha DomoEndeleeni kutumia ubabe kwenye haki hamwezi kushinda punda nyie!
Labda hao watanzania wa mtaa wa ufipaChama Cha Magufuli(CCM) kama anavodai mwenyewe kwa uhakika kabisa hakuna Watz wanaokipenda zaidi ya kutumia ubabe tu....!!!