Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 991
- 1,765
Mpe usimpe hakuna kiumbe chenye ubavu wa kumshinda jembe magufuliNdio tunampa kura sasa
Kishindo kipi zaidi ya propaganda Lissu hajafikia hata robo ya watu waliokuwa wanamsapoti Lowassa .16 August 2020
Tanga, Tanzania
Mji uliopoteza viwanda kwa wingi chini ya CCM
kwani kampeni zimeanza asubiri msumari wa tarehe 25 toka NECLeo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.
Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.
Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.
Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM
Wenye maamuzi nani aende ikulu ni sis wananchi, na ndio tunaojua tunayempeleka atatufanyia nini huko ikulu, tusilazimishane tafadhari.Hakuna lolote lilie Lissu kaongea hapo Muheza, zaidi anazidi kupandikiza chuki tu kwa wananchi hapo ili hali nao wanaona kazi inakwenda kwa kasi na ujenzi wa taifa!
Kodi ya mtanzania inatumika vyema tofaut na awamu zotee
Jpm sio Mungu bali makosa ya kibinadamu yapo tu ya kitamushi
Zaidi JPM licha ya mapungufu yake lkn kafanya kazi kubwa mno
Oooh! Kasema watu walikuwa wanalia njaa nikakumbuka namna alivo pigia chapuo kipindi hicho et wananchi wanalia njaa lkn hapakuwepo na yeyote aliyeripotiwa kafa na njaaππππ
JPM alikaza kama alivokaza kwa Zito kuishinikiza nchi iingie lockdown kipindi cha Coronaπππππ
Jiwe jiwe tu hapangiwi na anasimamia msimamo haswaaaππππ
Nadhani Lissu jipange kwa sera zaidi nini nchi au taifa utalifanyia zaidi ya haya ya JPM, jipange haswa,
Usije shangaa JPM ataibuka na ahadi konki zaidi kwa wananchi na ni rahsi kuaminika kwani kaonesha namna alivo mtekelezaji mzuri wa ahadi zakeππππ
Jipange sana Ndg LIsuπππ
Karibun kwa maoni.
Mtaelewa tu kunena kwa lughaπππWenye maamuzi nani aende ikulu ni sis wananchi, na ndio tunaojua tunayempeleka atatufanyia nini huko ikulu, tusilazimishane tafadhari.
Ni kweli. Kwa kuwa CCM inabebwa na Tume na sheria za uchaguzi. Vinginevyo mambo yatakuwa tofauti. Hata hivyo, hongera kwa hali hiyo.Bado munaamini kwenye siasa za mafuriko? Muulizeni Slaa na Lowassa. Ccm itashinda asubuhi tu.
Tanga bwana.Leo lissu yuko wapi?
Huyu Kamanda hachoki yaani bado yumo tu.Leo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.
Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.
Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.
Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM
Mbinu za uwizi wa kura hizi......enzi za JK mazao yalikuwa na bei bora hasa korosho na mbaazi, watumishi wa umma walikuwa wanapanda madaraja na nyongeza ya kila mwaka na biashara ya ndani na nje ilikuwa inashamiri. Hayo sasa hayapo, lazima kufanya maamuzi mazito kama nchi! Acha na ndot o za akina Lowasa na SlaaBado munaamini kwenye siasa za mafuriko? Muulizeni Slaa na Lowassa. Ccm itashinda asubuhi tu.
Asante sana.16 August 2020
Tanga, Tanzania
Mji uliopoteza viwanda kwa wingi chini ya CCM
TAL the annointed.Hongera sana Tundu Lissu kwa elimu kubwa ya uraia
Akirudi utafanya jeHii ni laana. Jitu linakula mahari ya mama yake aliye kitandani amepooza halafu bila aibu linatangaza hadharani. Busara za wapi hizi? Tulikosea Sana miaka 5 iliyopita. Miaka 5 ijayo haturudii kosa. URAIS bila hekima Ni dhihaka.
kimbunga hapana chezea kitasomba kwelikweli mwaka huu , maana moto uwashwa kidogo je ukilipuka sijui kimbunga kitpewa jina gani ,hatari sanaLeo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.
Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.
Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.
Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM
Lisu fundi,karudi kufundisha,mtaalamu wa sheria na maneno,Jamaa anajua kueleza Jambo,anajua historia,anajua kushawishi,anajua kujenga hoja.Maneno muruwa Kama maji ya kunywa