Uchaguzi 2020 Kimbunga cha Lissu chaingia Muheza Tanga

Uchaguzi 2020 Kimbunga cha Lissu chaingia Muheza Tanga

Siku hazigandi tarehe 28/10/2020 siyo mbali, tarehe hiyo ndiyo siku rasimi ya kukata ngebe za huyu mke wa mabeberu.

Tafadhari time ya uchaguzi nawaomba kwa dhata kabisa msipokee pingamizi lolote lile dhidi ya huyu jamaa, Huyu jamaa tunataka tumuadhibu kwenye sanduku la kura .
 
16 August 2020
Tanga, Tanzania

Mji uliopoteza viwanda kwa wingi chini ya CCM

Kishindo kipi zaidi ya propaganda Lissu hajafikia hata robo ya watu waliokuwa wanamsapoti Lowassa .

Aongee asiongee lakini kuwa Rais wa nchi hii asahau kabisa.
 
Leo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.

Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.

Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.

Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM

kwani kampeni zimeanza asubiri msumari wa tarehe 25 toka NEC
 
Hakuna lolote lilie Lissu kaongea hapo Muheza, zaidi anazidi kupandikiza chuki tu kwa wananchi hapo ili hali nao wanaona kazi inakwenda kwa kasi na ujenzi wa taifa!
Kodi ya mtanzania inatumika vyema tofaut na awamu zotee

Jpm sio Mungu bali makosa ya kibinadamu yapo tu ya kitamushi
Zaidi JPM licha ya mapungufu yake lkn kafanya kazi kubwa mno

Oooh! Kasema watu walikuwa wanalia njaa nikakumbuka namna alivo pigia chapuo kipindi hicho et wananchi wanalia njaa lkn hapakuwepo na yeyote aliyeripotiwa kafa na njaa😂😂😂😂

JPM alikaza kama alivokaza kwa Zito kuishinikiza nchi iingie lockdown kipindi cha Corona😂😂😂😂😂
Jiwe jiwe tu hapangiwi na anasimamia msimamo haswaaa😂😂😂😂
Nadhani Lissu jipange kwa sera zaidi nini nchi au taifa utalifanyia zaidi ya haya ya JPM, jipange haswa,
Usije shangaa JPM ataibuka na ahadi konki zaidi kwa wananchi na ni rahsi kuaminika kwani kaonesha namna alivo mtekelezaji mzuri wa ahadi zake😂😂😂😂

Jipange sana Ndg LIsu😂😂😂

Karibun kwa maoni.
Wenye maamuzi nani aende ikulu ni sis wananchi, na ndio tunaojua tunayempeleka atatufanyia nini huko ikulu, tusilazimishane tafadhari.
 
Leo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.

Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.

Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.

Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM


Huyu Kamanda hachoki yaani bado yumo tu.
 
Bado munaamini kwenye siasa za mafuriko? Muulizeni Slaa na Lowassa. Ccm itashinda asubuhi tu.
Mbinu za uwizi wa kura hizi......enzi za JK mazao yalikuwa na bei bora hasa korosho na mbaazi, watumishi wa umma walikuwa wanapanda madaraja na nyongeza ya kila mwaka na biashara ya ndani na nje ilikuwa inashamiri. Hayo sasa hayapo, lazima kufanya maamuzi mazito kama nchi! Acha na ndot o za akina Lowasa na Slaa
 
Hii ni laana. Jitu linakula mahari ya mama yake aliye kitandani amepooza halafu bila aibu linatangaza hadharani. Busara za wapi hizi? Tulikosea Sana miaka 5 iliyopita. Miaka 5 ijayo haturudii kosa. URAIS bila hekima Ni dhihaka.
Akirudi utafanya je
 
Leo Mgombea uraisi wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya kufanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 6000 huko Same, Leo alipita Muheza mkoani Tanga.

Kama kawaida akaendelea kugawa dozi ya elimu ya mambo ya uraia kwa wananchi wa Tanga.

Huku wakimsikiliza kwa makini, na kwa kuyatafakari maneno yake, Mheshimiwa Lissu ameelezea uhusiano wake na mkoa wa Tanga ambapo anasema ndiko alipopatia elimu yake ya kidato cha tano na sita mwaka 1987 hadi 1989 katika shule ya sekondari ya Galanos.

Unaweza kumsikiliza hapa akiwaeleza wananchi juu ya magumu ambayo nchi hii imepitia chini ya utawala uliofeli kila idara wa CCM


kimbunga hapana chezea kitasomba kwelikweli mwaka huu , maana moto uwashwa kidogo je ukilipuka sijui kimbunga kitpewa jina gani ,hatari sana
 
Hotuba za Lissu Ni darasa tosha.Jamaa anajua kueleza,anaeleza Jambo kwa Lugha rahisi inayoeleweka na inayoshawishi.
Nakuhakikishia kwa kura halali Lisu anamng'ao jiwe.
Kitakachoiokoa CCM Ni kura za maruhani.Na hiyo itategemea Wapinzani wamejipanga vipi.
Maana Huko Zanzibar Maalim anasema enough is enough,huku bara Lisu anasema haibiwi mtu safari hii.
 
Maneno muruwa Kama maji ya kunywa
Lisu fundi,karudi kufundisha,mtaalamu wa sheria na maneno,Jamaa anajua kueleza Jambo,anajua historia,anajua kushawishi,anajua kujenga hoja.
Safari hi dunia inaenda kushuhudia maajabu.
Jiwe tupa kule.
 
Back
Top Bottom