Uchaguzi 2020 Kimbunga cha Lissu chaingia Muheza Tanga

Daah, ashaanza kuwa mpole, hii no baada ya kujipnea mwenyewe kwenye misafara yake Jinsi ilivyo kinyume na matarajio yake ya awali
 
Hivo nyie mjaona mabadiliko ya hotuba za lissu, ama amechoka, au mambo hayako uzuri.

Lissu hana ile bashabasha aliyokuwanayo, alipoanzia DDM na alipofika Singida, baada ya hapo, sura yake na Mbowe hazikuwa zenye furaha, ni kama watu waliochoka sana, tusiwalaumu kwani wote ni nusu walemavu.
 

Lissu hayuko kuuza sura yuko kikazi!

Si kila muda ni muda wa kucheka!
 
CHADEMA NAOMBA KWENYE SLOGAN ZENU ......ONGEZEN .... NENO [ KIMBUNGA 2020]
 
Mdomo kama kapaka kinyesi pambavuuu!! Akachukue fomu tujue moja!
 
Hii ndomaana liliwekwa somo LA civic au general study hadi chuokikuu ili watu wajue elimu ya uraia nadhani Lissu kawa mwalimu wa Tanzania nzima ktk somo LA uraia
 
Li
Lissu anajua bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…