Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Uzuri bunge siku hizi limekuwa la uwazi kweli pamoja na makelele ya watu wanaojiita wanaharakati.
Kila swali na mchango wa mmbunge wananchi wanaona. Mfano maswali ya kihehere mmoja kutoka CDM, John Mnyika yanapatikana hapa👇
Bunge Polis
Asilimia kubwa ya maswali ya Mnyika ni barabara, maji, elimu, ardhi na afya; yanachukua kama 95% ya maswali yote aliyouliza mwaka huu yanayohusiana na Kibamba.
.................................................................................
Huyo Lissu aje alete michango ya mmbunge wowote wa CDM tu ambayo kwa ujumuisho wake aifiki 80% kuhusiana na maswala ya afya, elimu, umeme na miundombinu mengine). Akumbuke tu michango ya kila mtu ipo on record.
Hayo anayobeza ndio mambo watanzania wanataka kwa sasa. Tatizo sijui kama bunge wana statistics za majumuisho ni wapi kuna changiwa zaidi ili aonyeshewe upuuzi anao ongea.
Huyu mtu ni mwanaharakati tu hajui shida halisi za watanzania or what it takes to propel an economy yeye ni kuropoka tu hivi kabisa kuna watu wanadhani anafaa kwa nafasi ya uraisi.
Kila swali na mchango wa mmbunge wananchi wanaona. Mfano maswali ya kihehere mmoja kutoka CDM, John Mnyika yanapatikana hapa👇
Bunge Polis
Asilimia kubwa ya maswali ya Mnyika ni barabara, maji, elimu, ardhi na afya; yanachukua kama 95% ya maswali yote aliyouliza mwaka huu yanayohusiana na Kibamba.
.................................................................................
Huyo Lissu aje alete michango ya mmbunge wowote wa CDM tu ambayo kwa ujumuisho wake aifiki 80% kuhusiana na maswala ya afya, elimu, umeme na miundombinu mengine). Akumbuke tu michango ya kila mtu ipo on record.
Hayo anayobeza ndio mambo watanzania wanataka kwa sasa. Tatizo sijui kama bunge wana statistics za majumuisho ni wapi kuna changiwa zaidi ili aonyeshewe upuuzi anao ongea.
Huyu mtu ni mwanaharakati tu hajui shida halisi za watanzania or what it takes to propel an economy yeye ni kuropoka tu hivi kabisa kuna watu wanadhani anafaa kwa nafasi ya uraisi.