Ni around kilometre 280 ama 280KPH kwa saa, kama Full speed ya Land cruiser V8 ama Audi A8Ni 174 miles per hour (kasi ya Maili 174 kwa saa)
Kimeshaishiwa nguvu nasikia, kimetepeta tayariTujiandae.
Upo sahihi mkuu sisi ukanda wa tropical joto linatubeba Sana. Kimbunga hata kikija kwa kasi kwetu kitapungua sababu kwenye joto mgandamizo wa hewa ni mdogo.Tangu lini maeneo ya tropicla yakapigwa na vimbunga?
Pambaneni na kivuli cha meko tu sasa hivi
Hiki ilitakiwa kiitwe mekoHivi ni nani anatoa majina ya hivyo vimbunga?
Sumu aliyoiacha Hayati ni kimbunga tosha hapa Tanzania
HahahahaUkiwa na pikipiki tu unakiacha.
RubbishUtashanga chadema wanalishadadia hili ukitaka kujua wanamaudhi hawa jamaa
Ndio wapi uko?Rubbish
Hata huko kinapoelekea kuna waTanzania wenzetu,usifocus sana dar mkuu sababu wewe upo dar!Kimbunga chenyewe kinaingilia kusini mwa Dar, Dar ipo mbali sana
View attachment 1762262
Jina lake lenyewe tuu ni Tropical Cyclone. Maeneo ya equator ndo vimbunga nadra lkn sio tropicsTangu lini maeneo ya tropicla yakapigwa na vimbunga?
Pambaneni na kivuli cha meko tu sasa hivi