Kimenuka Diamond amemjibu alikiba kwa kuimba tena..amuita dada sikiliza hapa

Kimenuka Diamond amemjibu alikiba kwa kuimba tena..amuita dada sikiliza hapa

Duu...diamond ANACHANA ..poa sn kuliko KUIMBA...bora awe anachana tu..pia KIBAKULI tatizo lake anashindana na wakati.....KUMBUKA WAKATI NI UKUTA UKISHINDANA NAO UTAJUTA.....muda wa KIBAKULI kwenye MZIKI ushapita....mbona WAHENGA WENZIE wamegeukia MAJUKUMU mengine? na yeye ni kipindi cha KUFANYA HIVYO....mwanamziki GANI kwa mwaka anatoa NYIMBO moja tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale waliokuwa wakisema Ali anatembelea nyota ya Dimond wanajionea wenyewe Kuku na Yai kipi kilianza.

Mwingine yupo zake kimya hata Wimbo mpya hana yule Mwingine kutwa kutunga nyimbo kum-diss mwenzake.
 
Duu...diamond ANACHANA ..poa sn kuliko KUIMBA...bora awe anachana tu..pia KIBAKULI tatizo lake anashindana na wakati.....KUMBUKA WAKATI NI UKUTA UKISHINDANA NAO UTAJUTA.....muda wa KIBAKULI kwenye MZIKI ushapita....mbona WAHENGA WENZIE wamegeukia MAJUKUMU mengine? na yeye ni kipindi cha KUFANYA HIVYO....mwanamziki GANI kwa mwaka anatoa NYIMBO moja tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndio hata akili Huna.
Yaani maneno mnaanzisha wenyewe mkijibiwa mnaita watu wabaya.
 
Haya ndio matokeo ya upumbavu anaoufanya domo

Kupenda kiki za kijinga mpaka mama yake anatukanwa

Hawezi kutoa wimbo.mpaka achokonoe watu????
Screenshot_2017-08-23-14-00-20.png
 
Baadhi ya mistari ndo hii
[emoji116][emoji116]
Kufanya verse moja tu naona povu linawashuka, kina dada wavaa vi-top na vibukta.

Hawatoi ngoma kazi twiter kunisuta, kusafiria nyota nawapa pia na jua ruksa.

Wengine vishavu nukata, hips kama tuta, najiuliza ni nani au wameumbwa na hulka.

Wapo pamoja post sina mafuta, msiniletee nuksi huwa silagi vipusa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafanywa wajinga hamshtuki tu. Hebu nipite mie
 
Wanachosha sasa.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
diamond ndo king wa bongo flava kba muda wake umepta angetulia2 fisi hwez shndana na simba angoje mzoga baada ya smba kushba hv amjiongez2 mshabk wa kba m2 wmbo mmoja mwka mzma anakz ya kuufnyia rmx2 kashiwa 2ngo hyo a2lie vjna wapge kz HAHAHAHAHAHAHAHAHA WANPOST TEMBO C 2NAPOST SHOW HAHAHAHAHA SIMBAAAAAAA
 
Back
Top Bottom