Kimenuka Diamond amemjibu alikiba kwa kuimba tena..amuita dada sikiliza hapa

Kimenuka Diamond amemjibu alikiba kwa kuimba tena..amuita dada sikiliza hapa

Mfululizo kwani
Angekuwa anajiheshimu asingejibu matweet mfululizo. Kwanz alipo anafurahi kapewa kiki na ngoma zake anazotaka kuachia
huyu binti wa madale kaanza kumfatafata Kiba leo? Kumjibu siku moja ndo Mara kwa Mara? Kumshabikia diamond ni utumwa wa hali ya juu coz nahis mnaambiwa hata akikosea we sifia tu puuumbav mtoto wa kiume ana mambo ya kishoga bado mnamshabikia kwenye upuuzi wake a u mad?
 
Wanafanya kwa ajili ya mashabiki..
Wao in wafanya biashara, sisi wateja tukiipenda bidhaa/ kazi yao basi hawana budi kukomaa NAyo.. Tungewakaushia hata wasingeendeleza bifu..
Big up sana kiba na mondi.. Tumieni fursa hii ya sisi mashabiki vilaza tusio na kazi kupiga hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfululizo kwani

huyu binti wa madale kaanza kumfatafata Kiba leo? Kumjibu siku moja ndo Mara kwa Mara? Kumshabikia diamond ni utumwa wa hali ya juu coz nahis mnaambiwa hata akikosea we sifia tu puuumbav mtoto wa kiume ana mambo ya kishoga bado mnamshabikia kwenye upuuzi wake a u mad?
Kumshabikia kiba ndo utumwa. Kwangu mm Mondi ni mtu muhim sana kwa jamii kuliko uyo kibakuli wenu aliyejaa kiburi. Sijui mnajipendekezaga nn kwa kibakuli hakuna ata cha maana anachoifanyia bongofleva, hata inspiration tu hana. Najua utarud na matusi kama kawaida yenu team kibakuli
 
Kumshabikia kiba ndo utumwa. Kwangu mm Mondi ni mtu muhim sana kwa jamii kuliko uyo kibakuli wenu aliyejaa kiburi. Sijui mnajipendekezaga nn kwa kibakuli hakuna ata cha maana anachoifanyia bongofleva, hata inspiration tu hana. Najua utarud na matusi kama kawaida yenu team kibakuli
Kumtukana mtu asiyejielewa ni dhambi siwez kukutukana kijana kuwa na amani..huyo domo kiingia kwenye game tupu kati ya walomunspire n huyo Kiba unayesema hajafanya lolote, so hata la kuminspire domo hulioni? Na mengne yooote aloyafanya kwenye game, hiyo n kama kumsifia MAGUFULI had kufikia hatua ya kumpuuza NYERERE kwa wenye akili ndogo wataona sawa, kingine boss wenu mwenyew amedhihirisha namna gan anajambajamba na Kiba ndo maana a lot of tym anafanya attack kwa Kiba kajibiwa Mara moja tu mnahemkaaaa haya anawakimbiza huko na seduce me ndo mnazid kuchanganyikiwa aisee huruma sana.
 
Kumtukana mtu asiyejielewa ni dhambi siwez kukutukana kijana kuwa na amani..huyo domo kiingia kwenye game tupu kati ya walomunspire n huyo Kiba unayesema hajafanya lolote, so hata la kuminspire domo hulioni? Na mengne yooote aloyafanya kwenye game, hiyo n kama kumsifia MAGUFULI had kufikia hatua ya kumpuuza NYERERE kwa wenye akili ndogo wataona sawa, kingine boss wenu mwenyew amedhihirisha namna gan anajambajamba na Kiba ndo maana a lot of tym anafanya attack kwa Kiba kajibiwa Mara moja tu mnahemkaaaa haya anawakimbiza huko na seduce me ndo mnazid kuchanganyikiwa aisee huruma sana.
Haya umeshinda basi yaishe
 
Kashasema msimletee nuksi huwa halagi vipusa 😂😂 what a punchline!
 
Huyu jamaa shida yake aliwe jicho au kiki nn mbona haeleweki

Psalm 133:1[emoji768] "Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."
Mbona alishaliwa na Diddy
 
Back
Top Bottom