Kimenuka Insta; Diva adaiwa kupora mme wa mtu, Petitiman

Kimenuka Insta; Diva adaiwa kupora mme wa mtu, Petitiman

Kuna mwana dada anaitwa ladynaa alipost tuhuma kwamba Diva anajikomba kwa petitman kwa kumtumia sms za kimahaba
Diva akaja juu na kukanusha hajawasiliana na kutishia anakwenda polisi kadhalilishwa
Mwanadada ladynaa akaona isiwe tabu akazirusha hewani sms, diva akakiri zake lakini akadai kuitana i love you babe na daring ni uzungu tu na hakuna mahaba

Swali kwanini alikataa mwanzo?

Alihisi hakuna ushahidi.
 
Diva alikuwa mke mtarajiwa wa Ayatu.lla CEO wa TCA Wazushi.


View attachment 274393View attachment 274394 ImageUploadedByJamiiForums1439036713.534571.jpg

Bila vielelezo humu tutasumbuana kuelewana jamani
 
Hawa ndio akina usipojipanga nitakupanga,listori kama hili huku linafata nini?!
Nngekuwa uwezo ningekuzimia data wiki nzima ili ututolee ujinga wako hapa.

we mgeni JF? hizi ndo habari tunazozitaka jukwaa hili so dizain kama jukwaa halikuhusu mkuu
 
Ni vyema hizi hadithi mkazileta baada ya 25/10...sisi tunamjua huyu mzee tu!
 

Attachments

  • 1439049526826.jpg
    1439049526826.jpg
    46.9 KB · Views: 792
Duh kimenuka naona mume wa Dada ake
Mondi Petit kakamatwa akitumiana msg za mapenzi na
Diva the Bawse..
 
Diva kasema ni uzungu tu wala hajala dyudyu...
 
Back
Top Bottom