Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Haaahaaa..
Nimefurahia hicho kipengele cha huo upole wa Wema[emoji15] [emoji15]

Hivi Wema mpole?
 
Sio bongo movie , kawaalika watu maarufu tu. Alifungua magroup ya ujasiriamali matano hao ndio wamechanga hakuna hata mwakilishi yeye kawaalika maslay Queen wenzake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana jamani walialikwa japo wachache kama sikosei watu watatu!hayo magrupu mbona hayana ubaya watu wanafanya maendeleo mule!kwa hilo namtetea jamani japo walimpa zawadi lakini hakuwatangaza pale
 
Sasa kama mwanaume missiontown unahisi ana lakusema hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…