ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAJaman na mimi nimejifungua mtoto wa uzee naombeni basi mchango japo siku ya 40 mle pilau...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAJaman na mimi nimejifungua mtoto wa uzee naombeni basi mchango japo siku ya 40 mle pilau...
HahaLile duka la mobeto mbona kajaza mindoo ndani hivoo?
Haaahaaa..Wema ni victim wa circumstances nyingi sana. To me ule upole wake na kupenda mno kuwafurahisha watu Kila mtu kwake yy anamkaribisha Adi chumban under the name of friendship afu mwisho wa siku anakuwa rafiki nyoka.
She isn't wise in choosing friends and knowing who to trust. I wish siku nimpe akili mbovu kama yangu.
Huwez ukawa rafiki wa Kila mtu duniani no way. Halaf kwao unakuwa real unajiachia kana kwamba ni ndg zako. Waswahili kusema "mtakatifu nyingi nasaba kupata mingi misiba"
One n only in this world.... Najikutaga sikaelewagi yaaan!Ananikeraga hapo tu huyo dada. Anajiona ana perfect life hawezi kufanya any mistake. Yani jana wamekutana drama queens wawili.
Mshono tu insta nzima hawanyi leo[emoji23] [emoji23] [emoji15]Wanawake tumerogwa na marehemu kichaa kabisa sasa mshono tu wa gauni [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Grupu la wajasiliamaliMilioni 20 kufanyia sherehe
hem ngoja kwanza!!
ALIFANYIA NYUMBANI- HAKUNA GHARAMA YA UKUMBI!
ALIPIKA CHAKULA KWA CATERING YAKE.
Hiyo milioni 20 kajumlisha na sendo za Shabaan au?
Ana uzuri gani? Ule msauti wa kichaga ( wa kilevi) na kujibinua? Aaagh!Rachel mzuri sanaaaaaa. Ila akili yake ni zero zero zero
Tatizo bangi hamna kingineUkimuonyesha unampenda na ukamnyenyeka tu basi anakupa funguo ya moyo wake bila kujua huo unyeyekevu anaoupata anaulopaje. Anatumika na watu wengi sana na hata ukimwambia huyu mbaya huwa hajali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana jamani walialikwa japo wachache kama sikosei watu watatu!hayo magrupu mbona hayana ubaya watu wanafanya maendeleo mule!kwa hilo namtetea jamani japo walimpa zawadi lakini hakuwatangaza paleSio bongo movie , kawaalika watu maarufu tu. Alifungua magroup ya ujasiriamali matano hao ndio wamechanga hakuna hata mwakilishi yeye kawaalika maslay Queen wenzake.
Haha...40 ya mtoto na sponsors.Zama anapenda kuabudiwa sana ila sasa kasahau enzi hizo zimepita tangu ajiondoe kwa ruge. Naona wanakamati saiv wanajutaaaa kumfahamu
Sio Mange yule watu wabishi kuelewa yaani yule ni mtu tofautiMaybe lakini sidhani kama ni Mange naona watu wameamua kucopy style yake
Anajiona kazaa na mayweatherYani,,huwa ananifanya nione aibu Mimi,,,yani ni kitu ambacho hakutarajia nahisi,, anaonaga ye ndo kazaa na watu dunia nzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema usikikeKichwapanzioriginal aliumbuka vibaya rachel jamani
Sema usikikeNi kichwapanzi akaingia insta live ndiyo kuumbuka na kufuta account mpaka leo.
Huwezi kukaelewa kama hupendi watu wanaojishaua..One n only in this world.... Najikutaga sikaelewagi yaaan!
Sasa kama mwanaume missiontown unahisi ana lakusema hapo?Wanaume wengine ni wajinga sana pumbavu zao.
Mkeo anashikaje simu na kuandika ujinga kama huo na wewe upo?
Na usiku mnalala?
Watu tukistaarabika tukikwazwa tunatafuta njia ya kistaarabu zaidi na kuitumia, siyo kuandika usenge all over.
Binafsi mtu wangu akiweka status whatsapp isiyoeleweka namwambia atoe na hilo siyo la kujadiliwa, ni itolewe. FB siwezi kumcontrol kwakua sipo FB.
Mmoja alipoteza simu nikajichanga nikamnunulia simu, dakika kadhaa naona status 'Am baaaaaaack' nikamwambia toa hiyo status.
Akatoa vizuri tu.
Sasa hawa wengine vipi? Au wanalelewa?
Mzuri bwana. Live hajibinuagi na ule msauti wake mzito mzito ndo naupenda. Ana ngozi nzuri sira yake kanyimwa ubongo tu. Rachel mzuri kuliko Hoyce ujueAna uzuri gani? Ule msauti wa kichaga ( wa kilevi) na kujibinua? Aaagh!
Wema attention seeker..anaona beef bila kuongelewa yeye haliendi ila ana moyoWema nae kila ishu yupo ...
Hivi hajioneagi huruma?
Usisingizie bangi embuu. Bangi haimfanyi mtu akawa mjinga kama Wema alivyo.Tatizo bangi hamna kingine