cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Ule ni mwandiko wa Mange labda kama wameamua kumkosanisha na Zama lakini jambo ambalo haiwezekani maana ile akaunti amewahi kuipromote kipindi cha maandamano remember?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kafaa!wabongo nomaaUmesikia ya kaka wa Don Ivan kufa....eti zari kafanya yake[emoji15]
Kama alikua sponsored kwanini asiwachukue hata 10?[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana jamani walialikwa japo wachache kama sikosei watu watatu!hayo magrupu mbona hayana ubaya watu wanafanya maendeleo mule!kwa hilo namtetea jamani japo walimpa zawadi lakini hakuwatangaza pale
Bakhresa mbali...mtoto wa bakhresaAngezaa na bakhressa tungekoma. Kumbe kazaa na wale wababa zipu mbovu
KusagaAtakua Joe Thomas mwanamziki wa Marekani
Kosa la Zamaradi ni yale magazeti yake " sherehe milion 20 oooh sijachangiwa, mgunia nimeutafuta mshono mwenyewe"Mpaka sasa sijaona kosa la Zamaradi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniMilioni 20 kufanyia sherehe
hem ngoja kwanza!!
ALIFANYIA NYUMBANI- HAKUNA GHARAMA YA UKUMBI!
ALIPIKA CHAKULA KWA CATERING YAKE.
Hiyo milioni 20 kajumlisha na sendo za Shabaan au?
Nadhani ndilo lengo kuuKiini cha ugomvi ni Zama kuufahamisha ulimwengu kuwa sherehe ya 40 ya mwanae iligharimu milioni 20.
Malalamiko ya nguo ni madogo kuliko majisifu ya gharama za sherehe na life style yake ya sasa hivi.
ImlaDuuh!page zote hizoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Anajiona kazaa na mayweather
Me na mashauzi hell no!Huwezi kukaelewa kama hupendi watu wanaojishaua..
HahahahaaaBakhresa mbali...mtoto wa bakhresa
Kila group walichukua watu watatu so almost 18Kama alikua sponsored kwanini asiwachukue hata 10?
Nalijua bana hili lidemu halina pozz!....wote tuu sasa hoyce nae ana mvuto gani?Mzuri bwana. Live hajibinuagi na ule msauti wake mzito mzito ndo naupenda. Ana ngozi nzuri sira yake kanyimwa ubongo tu. Rachel mzuri kuliko Hoyce ujue
Suala lilikuq nguo hayo ya kuandaa shughuli za million nane aliulizwa?Kosa ka Zamaradi ni yale magazeti yake " sherehe milion 20 oooh sijachangiwa, mgaunia nimeutafuta mshono mwenyewe"
Mgazeti mmoja ( part 1) unakuja mgazeti mwingine hivo hivo kumbe full kujisifia tuu hamna la maana kujichoresha tu na kujisifia!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa kweliImla
AaaahKila group walichukua watu watatu so almost 18
Hahaahhaa.... umemalizia vizuriNalijua bana hili lidemu halina pozz!....wote tuu sasa hoyce nae ana mvuto gani?
Anyway someone meat's someone poison[emoji119] [emoji119]