Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Naona nimekubutua jiwe lililoenda kubanjua ubongo wako Wa bata wenye kufikiri kuvaa mawigi na kudanga mjini.

Nakuonya acha kulinganisha wanawake waliotukuka Wa kipemba na miparachuti ya Kimboka,Manzese na Mwananyamala kwa mfuga mbwa. Mwanamke mmoja Wa kipemba ni sawa na wanawake 20,000 Wa huko wenu uswekeni akiwemo hamisa mobeto wenu.


Sasa nakusubiri uje na maneno yako ya shombo ili nikubutue kama si kukuchuruza kisawasawa mpaka maji uite MMA
Unahamu ya kuchambwa ww. Sina muda huo kwasasa kwan you arent worth my time an energy so far.

Ila ukintafuta aisee utajuta kuchambana na mm.
 
Binti ndepaya kaingilia mtanange
IMG_20180815_144443.JPG
 
Yaani huyu akae kimya tu Neema, ila maisha haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Neema alikua anaapa lazima aje kuwa maarufu kwa namna yoyote.

Naona taratibu anafanikiwa.

Ngoja waja waje na mafile yake maana alipo ana laana ya mume.
Anajifanya hodari wa kurekebisha wenzie..vyake vinamshinda na mashavu yale kama ana puliza moto
 
Back
Top Bottom