AmorePowers
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 700
- 1,142
Naomba niamkie,tena huku umepiga magoti!"Nina twenty two tena ntaifikisha mwezi wa 8 mwakani[emoji23] [emoji23] [emoji15]
So I'm so young Adam ake"
Siku hiyo nilicheka almanusura nivunje mbavu zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unahamu ya kuchambwa ww. Sina muda huo kwasasa kwan you arent worth my time an energy so far.Naona nimekubutua jiwe lililoenda kubanjua ubongo wako Wa bata wenye kufikiri kuvaa mawigi na kudanga mjini.
Nakuonya acha kulinganisha wanawake waliotukuka Wa kipemba na miparachuti ya Kimboka,Manzese na Mwananyamala kwa mfuga mbwa. Mwanamke mmoja Wa kipemba ni sawa na wanawake 20,000 Wa huko wenu uswekeni akiwemo hamisa mobeto wenu.
Sasa nakusubiri uje na maneno yako ya shombo ili nikubutue kama si kukuchuruza kisawasawa mpaka maji uite MMA
Uscheke mwali....Sasa kama watu wanachanga 20mil kwa 40, kwann na mm nisiombe mchango?HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
6million my ass!Haha...mil6 my foot
Haaahaaa...shikamoo dadaNaomba niamkie,tena huku umepiga magoti!
Inaitwaje 😎😎😎😛Ni ngumu kucopy style yake kila muda,mange kuna kipindi aliazima account ya doggie kuchambia adui zake ila kwa sasa kageuza moja ya account zake za kuuza yale maronyaronya kuwa za kuchambia watu
Hahahaah6million my ass!
Hilo nalo mshingo umemjaa kwa ajili ya umbea na ule mdomo wake wa kidomodomo kabisa!Binti ndepaya kaingilia mtanangeView attachment 836790
Yaani huyu akae kimya tu Neema, ila maisha haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binti ndepaya kaingilia mtanangeView attachment 836790
Ananikeraga yule dada...na sauti lake kama kameza churaHilo nalo mshingo umemjaa kwa ajili umbea na ule mdomo wake wa kidomodomo kabisa!
Eti manager? Manager yule uwiii! Kweli bangi mbayaa
Ana lisauti libayaa jamani uwiii....raha ya mwanamke ujibebishe ila ile ' gruuuuuu ka simba khaaa!Ananikeraga yule dada...na sauti lake kama kameza chura
Anajifanya hodari wa kurekebisha wenzie..vyake vinamshinda na mashavu yale kama ana puliza motoYaani huyu akae kimya tu Neema, ila maisha haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Neema alikua anaapa lazima aje kuwa maarufu kwa namna yoyote.
Naona taratibu anafanikiwa.
Ngoja waja waje na mafile yake maana alipo ana laana ya mume.
Mwenzenu hapo anafurahia kijanja atajulikana vipi bila kiki.Anajifanya hodari wa kurekebisha wenzie..vyake vinamshinda na mashavu yale kama ana puliza moto
Haahahaha...labda ni muumini wa mbege..yake kayakalia kunako kinyeo ya wenzie sasa!!! Mfyuuuu zakeAna lisauti libayaa jamani uwiii....raha ya mwanamke ujibebishe ila ile ' gruuuuuu ka simba khaaa!
Au linakunywaga mbege!?
Hebu nipe hiyo wangu?Yaani huyu akae kimya tu Neema, ila maisha haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Neema alikua anaapa lazima aje kuwa maarufu kwa namna yoyote.
Naona taratibu anafanikiwa.
Ngoja waja waje na mafile yake maana alipo ana laana ya mume.
Kwakweli...sasa asubiri wajuaji zaidi yake washushe mafile yakeMwenzenu hapo anafurahia kijanja atajulikana vipi bila kiki.
Haaahaaa....halafu ukimuangalia tu unajua likorofi pureeAnajifanya hodari wa kurekebisha wenzie..vyake vinamshinda na mashavu yale kama ana puliza moto
Haaahaaa...Mwenzenu hapo anafurahia kijanja atajulikana vipi bila kiki.
Yaniiii...linaboa sanaHaaahaaa....halafu ukimuangalia tu unajua likorofi puree