Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

[emoji3][emoji16][emoji16]huyo wema miye sijui ila hamisa halazimishi jamani kwa sasa anawika mdogo mdogo tu atakaa sawa!kama atazingatia miiko ya kazi
 
Mkuu huyo mkeo Wa kipemba si ndo hao mnaowaoa wakiwa na bikra zao eeeh
Namna ulivyoandika ni jibu tosha wewe na kariba ya wakina "Mwajuma ndala ndefu". Ukute ni li-single mama limeshazalishwa hovyo kama mbwa Wa uswahilini.


Narudia tena acheni kujilinganisha na wanawake Wa kipemba. Watoto wana lafudhi tamu kama wanakula asali ya Tabora. Sio mingumbalu inaongea kama trekta za kulimia majaruba ya mpunga huko ileje.
 
Hamisa kosa lake nini jamani msimuonee binti wa watu!nampenda wema nampenda hamisa!!

Nna hakika aliyevujisha habari sio missa ni mtu tofauti!kabisaa!!ila kwa kua yy ndo mwenye kampuni msala umemdondokea
 
Yaani huyu akae kimya tu Neema, ila maisha haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Neema alikua anaapa lazima aje kuwa maarufu kwa namna yoyote.

Naona taratibu anafanikiwa.

Ngoja waja waje na mafile yake maana alipo ana laana ya mume.
Ana laana ya mume?hatariii[emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]mjini sihami
 
Hamisa kosa lake nini jamani msimuonee binti wa watu!nampenda wema nampenda hamisa!!

Nna hakika aliyevujisha habari sio missa ni mtu tofauti!kabisaa!!ila kwa kua yy ndo mwenye kampuni msala umemdondokea
Vyote vishenzi tu rayna vinapenda kiki upupu humu vumbini bongo[emoji23] [emoji23]
 
Huyu Fontana ni mgomvi tu maana nilianza kumshusha alivyomtukanaga Irene uwoya halafu Irene wala hakumjibu hata neno mojaaa kajiropokeshaa weeee!kakaa kimya Leo naona kamfata hamisaa hana lolote huyu!
Anatafuta kiki bebe....bila kiki mjini pagumu shoo...muache ajifanye anajua wenzie wananchora tu ipo siku yake
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatariii!kumbeeee!!!!!looh!mjini kuna mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…