Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Namna ulivyoandika ni jibu tosha wewe na kariba ya wakina "Mwajuma ndala ndefu". Ukute ni li-single mama limeshazalishwa hovyo kama mbwa Wa uswahilini.


Narudia tena acheni kujilinganisha na wanawake Wa kipemba. Watoto wana lafudhi tamu kama wanakula asali ya Tabora. Sio mingumbalu inaongea kama trekta za kulimia majaruba ya mpunga huko ileje.
Hii hii Pemba au?
 
Ona sasa Ndepanya ameshaanza kufukuliwa kaburi lake. Ugomvi wa paka panya nae huyoo sio kutafuta kuliwa huko
 
Hao wadada bado wanagombana kuhusu hiyo nguo?

Driveling idiots!
NN unafkr ni nguo?
Wala.

Kuna Diamond.
Kuna Bashite
Kuna Wema
Kuna Mama Dangote
Kuna Mange
Kuna Ruge
Kuna Clouds
Kuna Milly Nyampua
Kuna WCB
Kuna Kamati
Af tena
Kuna 40 ya Salah
Kuna Wonder Women
Kuna Birthday ya Juhjuh
Kuna Nyumba ya Zama



VYOOOOTE HIVYO KUSANYA NDO UNAPATA MSHONO WA GAUNI.
 
Huyu dada namjua toka miaka 10 nyuma huko kwenye 2004 - 2007.

Alikua ni rafiki wa sister ni kakubwa kweli basi tu kujitia utoto

Akaja akaolewa na kaka mmoja anaitwa Fredy anafanyia channel ten.

Akazaa nae Ivan, Neema anafika hapo kwa ajili ya Fredy.

Neema kasota kwenye kuigiza mnoo kasota sana Fredy alimpambania sijui star tv..sijui kwa watu gani ili Sanaa imtoe.

Alivyoanzisha urafiki na kina Aunty kujulikana kidogo mjini akadai talaka na kuanza kudate viben ten.

Fredy mpaka sasa kagoma kutoa talaka anaamini mkewe ipo siku atarudi.

Kwa watu wanaomjua toka long huwa wanamsikitikia tu Fredy.
Fredy hajafika kutoa talaka kisa eti ipo siku neema atarudi kwake no way.

Iko hivi adhabu kwa mwanamke korofi ni kutomtaliki....,..ukimtaliki atakuwa huru Sasa ww unamnyea haswaaaa no talaka hakuna kuolewa tena. Ataishia kufanya tuu miaka yote ila ndoa hapat tena.
 
Back
Top Bottom