Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Hamisa is dying for fortune n fame....same to Wema tu kasoro umri na utofauti wa nani alianza kushine ushenzini humu bongoo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] no publicity is bad!huoni sasa hivi anapiga helaa balaa!!!mambo ndo kama hvyo kibongobongo umaarufu una gharama sana
 
Nani alikuambia Pemba kuzuri?
Ama uzuri wake kunywa maji taka?
Hebu usinchefue kaa huyo mvulana anayewasifia.......
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] no publicity is bad!huoni sasa hivi anapiga helaa balaa!!!mambo ndo kama hvyo kibongobongo umaarufu una gharama sana
Haaahaaa rayna banaa....who makes cash now zaidi ya ufa fa faa? Ukimpenda mtu uweke akiba!

Kile kidemu kisipojirekebisha kupenda mambo makubwa na uwezo hakina kitaishia pabaya! Bora hata Wema ana experience na huo usupastaa uchwara kaamua ajiuzie mavitu vitu flani ili asurvive mjini!

Ile kile kimama majoka sijui, yangu macho[emoji15] [emoji15]


.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…