Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

SA we kweli gauni liwe na mshono wa vyote hivyo Kuna usalama kweli hapo?
Ila jaman turudi kwenye point ya msingi,

Kulikuwa kuna mantiki yyte ile ya kumtongoza Misa kwenye hii ishu?

Mi nafikir Zama alichemka. Alitakiwa a deal na waliosema kwann awachangishe hela af ajinasibu kuwa katoa zake peke yake. Using misa as a scapegoat ni kitu kisichokubalika

Sina u team but am trying to be fair
 
Hata Uwe na elimu ya saikolojia kumbadirisha mwanamke mbumbumbu eti kisa umempenda haiwezekani ila anaweza kubadirika mwenyewe kama amekupenda.
 
Dada mmbe wewe jamani... Umenishindaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…