Hii code nimeiweza duh mjini kuna mambo 😛😛😛Za kitaaa
Zina semaaaaa ULE MJENGO NA ILE HARUSI NI KWA HISANI YA WATU WA DAR ES SALAAAM.
Jaaaaaapo,ulionekana toka ujenzi!!
iiiiiiila baba Feza praimare sio mhusika wa tofali zile.
weeeeeeeh BADAMU BANGEMWAIKA MWAAAAAI MWAAAAI.
Nyie watu nioneeni huruma mbavu zangu [emoji23] [emoji23]Uyo chizi mjaa laana, uso umemparama kaa jua la kiama, hana haya wala hajui vibaya. Mshenzi yy na hao anao wasifia. Mxyuuuuuuuu zake.....
Hivi Dina Yuko wapi jamani. Amekuwa kimya siyo kawaida.
Hivi Dina Yuko wapi jamani. Amekuwa kimya siyo kawaida.
Itakuwa kamimbwa na Ngosha wake..Hivi Dina Yuko wapi jamani. Amekuwa kimya siyo kawaida.
Hivi Witty una nini Lakini????[emoji16][emoji16]Ila wee jamaa hunaga cha maana cha kukomenti zaidi ya hii sentensi? Kama roboti vile! Khaaa
Hamisa mshamba kwani kuzaa na mtu ndo nini aache ulimbukeni atumie umaarufu aliopata kujijenga ki maisha akisema ashindane na Zari ataumiaMtu mwenyewe pamoja na kujidai kazaa na hao wanaume lkn bado maisha yake ya kawaida tu. Siku akifika level za kina zari na Jackline Mengi sijui itakuwaje.
Kashaolewa na Mtanzania so automatic ni raiaAna vibali vya kukaa nchini kwetu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe sio mtanzania ndo maana ana roho mbaya basi
Bila shaka una chura kama ya sanchMnooo.....vitu vyembamba huvijui nini wewe?
Nacheka kizamaradi kwah kwah ....nawe umoo eeh?
Ila noma kweli[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]Chanzo nguo ya Zamaradi aliovaa kwenye arobaini ya mwanae Salah. Eti inasemakana aliiba idea kwa Hamisa na akashona kwingine.
Sasa na siri zingine zinafichuka wengine tulikua hatujui kwamba Zama hanyonyeshagi wanae akijifungua waja wanauliza kulikoni?.
Ila jamani maisha ya instagram sio maisha kila kitu unapost unataka umfaidishe nani kwa mfano. Basi imekua ni kushindana daily. Wakaka ambao hamjaoa kwa kweli angalieni wachumba zenu kama wana instagram fever hao sio wa kuoa (yani kupost kila kitu) mwisho wa siku ni kuumbuana
Nimecheka kwa nguvu nahisi nimeamsha majirani,Mana kitambaa kizito duvet kile unakijaza chini vile no wonder haikukaa mabegani!!
Mana chini kuzito!!
Mabega haikufit!!
Basi ikawa tu tafran
Mara huku sendo za Shabani
Mara huku zile green house.
Hujakaa vizur pinki pinki ile imechambuliwa chambuliwa ya yule Nani sijui
Mara kule miguu ya Mama Teri.
Kule vipepeo vya wanakamati
Mara kapita mama dogo na wowowo mstatili lake ,nakwambia kilikuwa na matukiooooooooooo.
Ile ya Wema ndio ilikua kali ya mwaka, kiukweli mimi nilikua mmoja wao kuamini, mwanamke uso mkavu mbele ya kamera kusema nyumba yake na hati juu looh angeweza hata kumdhulumu nyumba yule mama jamani.Mtu kuclip mjengo haujaisha na sio wa kwake unaona kama haiwezekani eeh?
Kwani kafanya mangapi yulee au wasanii wa kibongo wanafanya mangapi?
Na ule mjengo wa Wema milioni 400 uliamini eeeh?
Polee
Kaah!wapi kasema yeye mtoto jamani!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]too much chuki!daah!hatari sana hiiNdio akili za hamisa hizo, eti kila bifu anajifanya innocent hlf mdogo na wakati huko down pametoa vichwa viwili.
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Hana tako la kuzuia nguo.
Ana roho mbaya na mnaafiki Zamaradi yaani haihitaji degree kujua hilooo!Ana vibali vya kukaa nchini kwetu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe sio mtanzania ndo maana ana roho mbaya basi
Mzee wapi bwana sema humpendi hivi mtu aliyemiza form four 2011 mpk leo ana miaka mingapi!![emoji3][emoji3]yaani hata kama hamumpendi punguzeni jamani chuki loh!Wewe lihamisa lizee lile...kipindi kile anajiviringisha machatu shingoni ulikuwa form gani vilee?
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani wema sina hamu nae looh!Mimi bado nampenda na ujinga wake huo huoIle ya Wema ndio ilikua kali ya mwaka, kiukweli mimi nilikua mmoja wao kuamini, mwanamke uso mkavu mbele ya kamera kusema nyumba yake na hati juu looh angeweza hata kumdhulumu nyumba yule mama jamani.
Siku ilipokuja kubumbuluka nikajiapiza kamwe sitawaamini wasanii wa bongo.. nahisi ndio mapenzi yangu na Wema yalipoishia pale akaja na ile mimba feki looh ptuu.
Kafanyaje?!!!Tena kimya kimya ....ila kuna clip leo nimecheka balaa ya huyo happy [emoji23] [emoji23] [emoji23]
KumbeeeNdicho anachokifanya mshamba Z ....si unajua warundi tena, kujikutaga!