Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Mtu mwenyewe pamoja na kujidai kazaa na hao wanaume lkn bado maisha yake ya kawaida tu. Siku akifika level za kina zari na Jackline Mengi sijui itakuwaje.
Hamisa mshamba kwani kuzaa na mtu ndo nini aache ulimbukeni atumie umaarufu aliopata kujijenga ki maisha akisema ashindane na Zari ataumia
 
Chanzo nguo ya Zamaradi aliovaa kwenye arobaini ya mwanae Salah. Eti inasemakana aliiba idea kwa Hamisa na akashona kwingine.

Sasa na siri zingine zinafichuka wengine tulikua hatujui kwamba Zama hanyonyeshagi wanae akijifungua waja wanauliza kulikoni?.

Ila jamani maisha ya instagram sio maisha kila kitu unapost unataka umfaidishe nani kwa mfano. Basi imekua ni kushindana daily. Wakaka ambao hamjaoa kwa kweli angalieni wachumba zenu kama wana instagram fever hao sio wa kuoa (yani kupost kila kitu) mwisho wa siku ni kuumbuana
Ila noma kweli[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]
 
Mana kitambaa kizito duvet kile unakijaza chini vile no wonder haikukaa mabegani!!
Mana chini kuzito!!
Mabega haikufit!!
Basi ikawa tu tafran
Mara huku sendo za Shabani
Mara huku zile green house.
Hujakaa vizur pinki pinki ile imechambuliwa chambuliwa ya yule Nani sijui
Mara kule miguu ya Mama Teri.
Kule vipepeo vya wanakamati
Mara kapita mama dogo na wowowo mstatili lake ,nakwambia kilikuwa na matukiooooooooooo.
Nimecheka kwa nguvu nahisi nimeamsha majirani,
Ngoja nikaangalie tena youtube nicheke zaidi.
Hahahaha Snow umeua aiseee hebu waonee huruma wenzio khaa.
 
Mtu kuclip mjengo haujaisha na sio wa kwake unaona kama haiwezekani eeh?

Kwani kafanya mangapi yulee au wasanii wa kibongo wanafanya mangapi?

Na ule mjengo wa Wema milioni 400 uliamini eeeh?

Polee
Ile ya Wema ndio ilikua kali ya mwaka, kiukweli mimi nilikua mmoja wao kuamini, mwanamke uso mkavu mbele ya kamera kusema nyumba yake na hati juu looh angeweza hata kumdhulumu nyumba yule mama jamani.

Siku ilipokuja kubumbuluka nikajiapiza kamwe sitawaamini wasanii wa bongo.. nahisi ndio mapenzi yangu na Wema yalipoishia pale akaja na ile mimba feki looh ptuu.
 
Ile ya Wema ndio ilikua kali ya mwaka, kiukweli mimi nilikua mmoja wao kuamini, mwanamke uso mkavu mbele ya kamera kusema nyumba yake na hati juu looh angeweza hata kumdhulumu nyumba yule mama jamani.

Siku ilipokuja kubumbuluka nikajiapiza kamwe sitawaamini wasanii wa bongo.. nahisi ndio mapenzi yangu na Wema yalipoishia pale akaja na ile mimba feki looh ptuu.
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani wema sina hamu nae looh!Mimi bado nampenda na ujinga wake huo huo
 
Back
Top Bottom