Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Ni bora kuacha kabisa kunyonyeshakama mtoto kazaliwa safe. Wazungu wenyewe wanatufanyia sisi utafiti hawana uhakika mama anaweza akawa na michubuko kwenye titi ikapelekea mtoto kuambukizwa
Halafu watu wanadhani sijui ukimwi mpaka upate mchubuko Wa kuweka plaster . kile kidudu ni kidogo hata microscope yakawaida haokani mpaka advanced microscope ambazo tz hazifiki hata 10 .. Hizi test kazi yake ni kucheki cd4 n special reaction ya vvu na hizo chemical kwenye kipimo. So mchubuko ambao wewe uhuhisi mdudu anakuingia tuu bila stress
 
Halafu watu wanadhani sijui ukimwi mpaka upate mchubuko Wa kuweka plaster . kile kidudu ni kidogo hata microscope yakawaida haokani mpaka advanced microscope ambazo tz hazifiki hata 10 .. Hizi test kazi yake ni kucheki cd4 n special reaction ya vvu na hizo chemical kwenye kipimo. So mchubuko ambao wewe uhuhisi mdudu anakuingia tuu bila stress
Ndo maana nasema ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Yani usifanye mtt akaupata kwa ajili yako wkt Mungu alimuepusha akiwa tumboni.
 
Zama aliniudhi sana aliporusha ile clip ya ruge kwa mange. It's like alikuwa anatidoboleshea kuwa she is that hot to make a man cry.......but the bad side of it she fooled herself. Karma is a bitch. Alipanga kumdhalilisha ruge Leo anadhalilika yeye tena mchana kweupe. No
Sikumwelewa.
Ruge nadhanu haamini mpk kesho.
 
Zama aliniudhi sana aliporusha ile clip ya ruge kwa mange. It's like alikuwa anatidoboleshea kuwa she is that hot to make a man cry.......but the bad side of it she fooled herself. Karma is a bitch. Alipanga kumdhalilisha ruge Leo anadhalilika yeye tena mchana kweupe. No
Kwa k ipi babu weee ya kuliliwa? Kwanza inawezekana Ruge alikua anajiliza ili wasiachane aendelee kuwa karibu na wanae.
 
Back
Top Bottom