Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Mamie, aomba nikuulize....hivi umekosa cha kufanya mpaka utuletee upuuzi kama huu?
Hebu na wewe kafie mbali huko,nawe huo muda wa kusoma hii post hadi kujiuliza nimekosa cha kufanya umeupatia wapi?
Fanya ulale kesho kibarua cha kufua chupi kwa wahindi kisiote nyasi kwa kumfuatilia Nifah kapost nini.
 
Hahahahaa nacheka kama mazuri,kanikera sana leo.
Halafu huyu ndio watu wanamsifia kuwa anajielewa!
sasa kwa akili yako binamu unaweza kumfananisha MISS FEKERO na ZARI? kwa lipi? hampati kimaisha wala ki uzuri japokuwa zari mkubwa, mwache amkomeshe
 
Aha aha teh the,siunajua baby anapotokea ukikaa na uwaridi sharti unukie,ila Nifah kwa ubuyu hahahahahah aanifurahisha
 
Fake cars? Yale magari yaloandikwa zari ni yako? Ha ha ha kuwa na wema bongo sio sababu ya kuuona ufake wake wote zari na wema tunawaona instagram na ndio huko huko wanaonesha mambo yao
Hahahahahaha siku zote nikuwa nasoma coment zako nikawa nakuona wa maana sana kumbe hakina kitu eti magari yaliyoandikwa zari ..... Hayo magari anayo insta ila physically hana.... Kuna wengine wanafanya matangazo ya makampuni na wanalipwa poor Tanzanians
 
Hujielewi hiyo unayoleta Ni formal meaning ya Uswahili.
Acha kuhamisha Goli hapa hatupo kujadili Maana halisi ya Mswahili.Jibu unalo mtu akikwambia mswahili anamaanisha nini.ndo maana alivyoitwa huyo Zari Mswahili ukareact kuleta video za Wema alivyo mswahili ukamuita Mzungu kama joke sasa unabadili so maana from informal meaning kuleta kwenye Formal Meaning ya Mswahili.Mshajua akili yako kumbe nawe Mswahili.
Jioni Njema.
 
Zari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu
ahahahah uwiii ngozi kama nini? halafu hapo yupo twenties, akifikika 30 ngozi itakua kama ya nguruwe mbwa huyo, kazi ku fake maisha tu
 
Binamu kweli zari wa kuwa na pressure kwa wema sepetu? this is BIG NO, zari alikua hana time na mama ubaya, ila team yake imemchokonoa vya kutosha , mwache amwage cheche
Hivi kuna dongo ambalo Zari hajawahi kulijibu hadi useme nimuache?
Kuhusu mtoto alijibu juzi na wala sikuona kama kafanya vibaya maana ni Wema aliyemchokonoa.
Leo bibi bomba huyo kachokonolewa na team kamwaga povu kibao kuhusu wema inahusu?
Kama hana pressure nae nilitegemea akae kimya ajibu kwa matendo kwa kujilia raha na Diamond wake sio kwa povu hili la leo.
 
Huwezi kumlinganisha Zarinah na mlimbwende wetu.. Mlimbwende wetu ni bogus, amezidi..
 
Haha mbona wako humu wamezidiwa point wanahaha tu [emoji1] "
Teh teh ! Basi watakuwinda muda sio mrefu ....mimi nachekaga sana hizi team wema,team kiba ,team diamond wanavyoparuana ,hivi Magufuli akiamua kuleta ubabe wa PYONGYANG akazifungia Instagram na kina Facebook kuna watu watalazwa hospital kama vile wamepatwa na bomoa bomoa
Ubuyu una raha yake
 
Unanipa raha weye?
Asanteeeeee,much love kwako.
 
Sawa kachokozwa,kwanini amshambulie Wema kama yuko happy sana na huyo anayejidai yuko happy?
Yuko happy ndio maana mpaka leo wapo pamoja binamu , wasingekuwa happy wangeachana, upo hapo? huyo bibie akalipe umeme wa watu aache kujishaua mjini, ila zari mbaya khaa sio dongo hilo kwa kweli, mpaka mama ubaya kapanick
 
Kwani huu nao ndo ule mwendelezo wa HAPA KAZI TU? Nimeuliza tu jamani
 
Asante sana mkuu,hivi umejuaje?
Nashangaa navamiwa na maneno na mapovu kibao kana kwamba kuna sehemu nimesema Wema ni mzungu.
Ndio maana nimekaa kimya huku nikicheka tu watu wanavyotoa povu.
Asante kwa kuisoma akili yangu na kuwashtua 'WAKURUPUKAJI'.
Na mkurupukaji namba moja ni wewe!!! Hujui nini halisia kinachoendelea mtaani unashupalia tu post za instagram.!! Uliza mtaani huku nn kina happen ndio utajua kwann Zarinah anareact namna hiyo!!! Huyo mlimbwende unayemsifia humu ni bogus kabisa, she doesn't know how to let go..
 
Huyu Mama nae bora angeacha kubishana na watoto aiseee sasa yeye si aendeleee kulea kutokana na hizo picha tu nimeona huyu anatafuta kiki kwa kigongo...Dah shauri zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…