UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Teh teh ngoja nipite kimya maana wakija sijui team wema hapa ,mitusi yake hapakalikiLabda yamahips
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh ngoja nipite kimya maana wakija sijui team wema hapa ,mitusi yake hapakalikiLabda yamahips
Hebu na wewe kafie mbali huko,nawe huo muda wa kusoma hii post hadi kujiuliza nimekosa cha kufanya umeupatia wapi?Mamie, aomba nikuulize....hivi umekosa cha kufanya mpaka utuletee upuuzi kama huu?
sasa kwa akili yako binamu unaweza kumfananisha MISS FEKERO na ZARI? kwa lipi? hampati kimaisha wala ki uzuri japokuwa zari mkubwa, mwache amkomesheHahahahaa nacheka kama mazuri,kanikera sana leo.
Halafu huyu ndio watu wanamsifia kuwa anajielewa!
Haha mbona wako humu wamezidiwa point wanahaha tu [emoji1] "Teh teh ngoja nipite kimya maana wakija sijui team wema hapa ,mitusi yake hapakaliki
Katika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Hahahahahaha siku zote nikuwa nasoma coment zako nikawa nakuona wa maana sana kumbe hakina kitu eti magari yaliyoandikwa zari ..... Hayo magari anayo insta ila physically hana.... Kuna wengine wanafanya matangazo ya makampuni na wanalipwa poor TanzaniansFake cars? Yale magari yaloandikwa zari ni yako? Ha ha ha kuwa na wema bongo sio sababu ya kuuona ufake wake wote zari na wema tunawaona instagram na ndio huko huko wanaonesha mambo yao
Hujielewi hiyo unayoleta Ni formal meaning ya Uswahili.Hahahaaa wewe hata mantiki nyepesi zinakushinda!
Uswahili ni hali ya kuwa Mswahili. Kuwa mswahili hakumaanishi kwamba wewe hujastaarabika, yaani ni mshenzi.
Mswahili si kiwakilishi cha tabia au mienendo ya mtu.
Mwingereza au Mmarekani atakuwaje Mswahili sasa ?
Mtu ambaye hajastaarabika ni mshenzi.
Ndo maana nimesema unahitaji kuelimika ili ujue.
Hebu fungua kamusi ya Kiswahili sanifu [kama hata unayo] halafu uangalie fasili ya neno 'mshenzi' ni nini.
Uswahili ni hali ya kuwa mswahili kama ilivyo usukuma na msukuma au uhehe na mhehe.
Neno sahihi la kumwelezea mtu ambaye unaona hana ustaarabu ni 'mshenzi'.
ahahahah uwiii ngozi kama nini? halafu hapo yupo twenties, akifikika 30 ngozi itakua kama ya nguruwe mbwa huyo, kazi ku fake maisha tuZari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu
Hivi kuna dongo ambalo Zari hajawahi kulijibu hadi useme nimuache?Binamu kweli zari wa kuwa na pressure kwa wema sepetu? this is BIG NO, zari alikua hana time na mama ubaya, ila team yake imemchokonoa vya kutosha , mwache amwage cheche
Huwezi kumlinganisha Zarinah na mlimbwende wetu.. Mlimbwende wetu ni bogus, amezidi..Zari is too class,? Hahahahahahaha hivi uclass gani alionao ushawahi ona snap chat zake asilimia 70 anamchonoa wema...... Zari hana uclass wowote ila wabongo tulivyo washamba tunamwona ndio class yaan wema anamnyima raha zari akiondoka bongi roho juu anapiga tu vjembe
Teh teh ! Basi watakuwinda muda sio mrefu ....mimi nachekaga sana hizi team wema,team kiba ,team diamond wanavyoparuana ,hivi Magufuli akiamua kuleta ubabe wa PYONGYANG akazifungia Instagram na kina Facebook kuna watu watalazwa hospital kama vile wamepatwa na bomoa bomoaHaha mbona wako humu wamezidiwa point wanahaha tu [emoji1] "
wanaotaka DNA waanze kwanza kuonyesha DNA zao mbwa hao hawana jipya, huyo mama fekero kapata dawa yake leo, ila zar mbaya kumamae khaaaaHao wanaotaka DNA wao wanawajua baba zao wamuache boss lady sie madaktari wa mitandaoni tushafanya DNA siku nyiiingi lile domo la tiffah copy na diamond kabisa he he he
Wema nae toto jinga
Unanipa raha weye?Uswahili haumaanishi unapatikana tu Tanzania hata huko kwa wenzetu Uswahili Upo.
Uswahili unatumika kuwakilisha tabia ya Mtu ambae hajastarabika na sio asili wapo wazungu wengi waswahili sana.Ukweli Ni kwamba Zari alidhaniwa Ni Mstaarabu kumbe ana chokochoko nyingi kama za Wema
Yuko happy ndio maana mpaka leo wapo pamoja binamu , wasingekuwa happy wangeachana, upo hapo? huyo bibie akalipe umeme wa watu aache kujishaua mjini, ila zari mbaya khaa sio dongo hilo kwa kweli, mpaka mama ubaya kapanickSawa kachokozwa,kwanini amshambulie Wema kama yuko happy sana na huyo anayejidai yuko happy?
Hii comment imenikumbusha ile comment yako Magufuli alipoikimbia BBC ,eti si akamatwe kwa nguvu ,teh tehAweke ultrasound tuone mimba
Na mkurupukaji namba moja ni wewe!!! Hujui nini halisia kinachoendelea mtaani unashupalia tu post za instagram.!! Uliza mtaani huku nn kina happen ndio utajua kwann Zarinah anareact namna hiyo!!! Huyo mlimbwende unayemsifia humu ni bogus kabisa, she doesn't know how to let go..Asante sana mkuu,hivi umejuaje?
Nashangaa navamiwa na maneno na mapovu kibao kana kwamba kuna sehemu nimesema Wema ni mzungu.
Ndio maana nimekaa kimya huku nikicheka tu watu wanavyotoa povu.
Asante kwa kuisoma akili yangu na kuwashtua 'WAKURUPUKAJI'.