Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Hivi mtu mzima anazaa? huyo wema mtoto mdogo ila kashaenda menopause *****, zari mpaka kesho akitaka kuzaa anazaa,mwambien huyo bibi bomba wenu ashike mimba kama anaweza, kazi ku fake tu kila kitu *****
Mimba my foot..... Ha ha ha ha
 
Nyani Ngabu anayo mi Sina, eti nyumba ya m400 Thubutuuuuuuu
 
Kujioa mwenyewe?

Hapana aisee, huo si uswahili.

Huo ni umajununi.

Kumbuka kuwa al junun funun al khalfan waheed!
ahahaha nilimaanisha alidanganya kaolewa kumbe ilikua movie, nimekosea kiswahili , najutraa kwa nn wazazi wangu walinipeleka international schools toka nipo mdogo, ndio madhara yake haya
 
sasa kwa huo umbali c wote wako area moja?
afanye azae tu maana akishindwa mwenzie zari siku atamtambia uzao wake akakosa la kujibu akaishia kunywa sumu
Kwa umbali wa kilometa 4 kwakweli hawawez kuwa area moja"[emoji1]" Wema alikiri ni mgumba nikumuombea tu sio kua ni jambo zuri. Sema aache kushindana na watu wenye Uzao maana kuwa na mtoto ni furaha isiyoelezeka and she misThat. Thats Y shz going crazy everyday
 
Akapange tu vyumba vya buku tano kwa mwezi. Aache kujionesha ana hela kumbe si lolote si chochote. Ustar una mambo mengi sana aisee.
 
wema kipindi anagombea umiss alisema she is 18 kazaliwa 88!! bt ikavuja alidanganya
basi now atakuwa 29,30 au kashavuka 30!
and zari kasema her real age ni 34.. kuna umbali gani hapo?
tena bora zari anawatoto 4 lakini akisimama na wema wataonekana wote wapo sawa ki umri. je wema angekuwa na watoto hata 2 angekuwaje?
 
ahahahajajhajaajj dah huyo wema balaa, yani uwongo wake wooooote ila watu bado wanaendelea kumwamin? mimi big no kwa kweli, awadanganye hao misukule wenzie
Mbwembwe kibao ita waandishi wapi makamera zamaradi anazungushwa vyumbani hadi chooni kumbe nyumba so yake Wemaa wemaaa qumanyokoooo in remmy's voice
 
muombee wewe!!
kaua vichanga kibao na damu zao zinalilia haki udongoni.kama kweli hana kizazi hayo ndo malipo yake. ajipange.
 
Fanya ushabiki wote my dear ila kizazi usikifanyie dhihaka.... Mungu huyu anaweza kukupa kizazi na pigo juu....
Naogopaga sana wanaotukana vizazi...heri kutukanana kuhusu michirizi

Ila mmempima kuthibitisha ugumba???
 
Simtetei wema lakin kwaninj zari asijikalie ye si anaukali kila siku alaaaaaaa,wema nae ni mpuuzi lakin zarj amuache wema
Something is wrong somewhere
Labda Ndomo akifika mshindo anaita jina la wema

Wanawake bana

Kurushiana vijembe kisa mwanaume mfyuuuu
 
tena bora zari anawatoto 4 lakini akisimama na wema wataonekana wote wapo sawa ki umri. je wema angekuwa na watoto hata 2 angekuwaje?
Wema ndio binadamu pekee duniani ambaye umri wake kila mwaka unapungua wakati wengine wote ukiongezeka!! Anafaa aingizwe kwenye kitabu cha maajabu ya Dunia.. Makofi kwake tafadhali.!!
 
Fanya ushabiki wote my dear ila kizazi usikifanyie dhihaka.... Mungu huyu anaweza kukupa kizazi na pigo juu....
Naogopaga sana wanaotukana vizazi...heri kutukanana kuhusu michirizi

Ila mmempima kuthibitisha ugumba???
Si alitoa tangazo mwenyewe jamani, gazeti reeeeefu kutuhabarisha habari za kushindwa kupata mtoto hajui kipi cha kuongea kipi cha kunyamaza mwanamke na akili timamu anatangaza "nimetoa mimba coz nilikua mdogo" akaona fahari mwenyewe, hata kama katoa hiyo ingebaki yake so ya kuongea huyo, mastaa wangapi hawana watoto kina jide sijawahi ona wakizungimza hayo kwenye social media
 
Mwanamke mwenzako yule lakini
najua but ntaanzaje?
kama ni kweli atubu na amrudie muumba tu!
maybe ni evil spirit ndo inamfanya awe hivi na sio yy au wana laana zinawatesa kwny ukoo wao!
aombewe tu maana uffuska wa kutisha na mambo ya ajabu anayofanya inaweza ikawa sio yeye.
 
Wema ndio binadamu pekee duniani ambaye umri wake kila mwaka unapungua wakati wengine wote ukiongezeka!! Anafaa aingizwe kwenye kitabu cha maajabu ya Dunia.. Makofi kwake tafadhali.!!
Ha ha ha ha ha ha ha
 
Nifah Kumbe na wewe mpana eenh???? Kama pazia la sinema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…