Teh teh wewe ndie ulipanda gari na kwenda kwenye msiba usioujua kisa kupata ubuyu ?? Kweli wewe jeshi la mtu mmoja cc Evelyne Saltaaaah warumi jeshi la mtu mmoja, kama walinishindwa miaka ile wataniweza leo? hii habare nyingine, mwambien boss wenu aache kuigiza life manina
Mhhh Wema awe mwanae,alimzaa akiwa chini ya miaka 10?Huyu zari naye kakosa adabu,kwa umri wake wema ni kama mwanae,anaanzaje kurushiana vijembe na mwanae?
Mwenyewe eti unademand kabisa eti uwekewe DNA!!! We ukiwa kama nani???????
Hawa wote wanaumizana,sijamwona mwenye nafuu kati ya wote hawaKatika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Nifah siasa zimekuwa ngumu umeona uje huku..haya sasa tuambie...hapo unachezea team gani??Hahahahaaa wewe nae kama sio mbea kilichokufanya usome hii post ni nini?
Zari kamshinda wema kwa kila kitu
Uzuri
Mali
Watoto
Exposure
Nidhamu
Wife materials
Hiyo chepeo akapambane na akina diva na akina lulu
Weka picha
Sasa wema mbona kashindwa ye kuomba kwa ma x ili alipe hata umemeKwa level gani, mbona wabongo washamba sana. Level hela ya kula na show off hadi ukaombe kwa X ili uwalingishie watu Instagram, lol
Kweli aweke picha wema ana miguu mibaya. Mapaja michirizi figa ya hovyo ngozi na makalio ya kununuaWeka picha
hahaaaaaKweli aweke picha wema ana miguu mibaya. Mapaja michirizi figa ya hovyo ngozi na makalio ya kununua
Wee nae unavyomponda wema km alikuchukulia. Class ya mtu anavyojiweka mwenyewe,,hebu mpumzishe wema wa watu. Ndio nyinyi hata km mtu hana kosa mnamtafutia kosa, una tabia km za askari mgambo
Hahahahaaa shoga nawe sio kwa vichambo hivi!Kwa level gani, mbona wabongo washamba sana. Level hela ya kula na show off hadi ukaombe kwa X ili uwalingishie watu Instagram, lol
Kweli aweke picha wema ana miguu mibaya. Mapaja michirizi figa ya hovyo ngozi na makalio ya kununua