Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

aaaah warumi jeshi la mtu mmoja, kama walinishindwa miaka ile wataniweza leo? hii habare nyingine, mwambien boss wenu aache kuigiza life manina
Teh teh wewe ndie ulipanda gari na kwenda kwenye msiba usioujua kisa kupata ubuyu ?? Kweli wewe jeshi la mtu mmoja cc Evelyne Salt
 
Katika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Hawa wote wanaumizana,sijamwona mwenye nafuu kati ya wote hawa
 
Nishazea block hahahhaaa ukweli mchungu nashukuru kaisomaaaa
 
Najiuliza na mm humu nmefuata nini,huu umbea huu dAAh.alaf na hizi smartphone ndo zimerahisisha zaidi udaku
 
Wee nae unavyomponda wema km alikuchukulia. Class ya mtu anavyojiweka mwenyewe,,hebu mpumzishe wema wa watu. Ndio nyinyi hata km mtu hana kosa mnamtafutia kosa, una tabia km za askari mgambo
Kwa level gani, mbona wabongo washamba sana. Level hela ya kula na show off hadi ukaombe kwa X ili uwalingishie watu Instagram, lol
Hahahahaaa shoga nawe sio kwa vichambo hivi!
Khaaaaaa!
 
Back
Top Bottom