ahahaaaah binamu unanivunja mbavu, anajifanya kim kardashian wakat mwajuma ndala ndefu mxieeeeKalipa wapi wala hajalipa MSAGA SUMU alisema wema ndo alisababisha mgao wa umeme lol
Kwel mkuu amezeeka kabaki sauti tuu atazeeka vibaya sana siokwa kujichubua kuleNyie mnao mwita Wema mtoto ndio mnazidi kumuharibu aendelee kuwa mpuuzi, ana utoto gani kama alikiri mwenyewe katoa mimba ya marehemu kanumba? Kazidi miaka 25 anaelekea 30 bado mtot, ndio maana alitoa mimba ili asizae kwa kuwa nae ni mtoto? Aelezwe ukweli tu nae ajiongeze maisha ya fake, fake, fake hayatamsaidia anashindwa hata na LULU? Lulu mwenyewe ana fight na hataki kuitwa mtoto, huyu mama ubaya eti mtoto, mtoto, anapakata baba zake kwa foleni na anawatoa jaso bado mtoto, sifa mbovu hizi.
Jaman watu wana roho mbaya eti mama ubaya kasababisha mgao wa umeme, uwiii mbavu zangu mie warumiHhhhaaaaa msaga msumu aliuaa
Elf 40 atamuuzia nani team yake walivojipaukia wajikute wanatoa elf 40 kununua lipstick Thubutuuuuuuu labda auze buku bukuHa ha ha na body splash.....hii ni hatari.Una range halafu unamiliki duka la lipstick,alijua atauza elfu 40 kashusha mwenyewe.
Atawadanganya hao hao....hana nyumba wala ushuzi,kapanga huko ununio.Asubiri **** imshuke kama sikio la tembo ndo atajua kumbe **** inazeeka.Ile party ilikua nyokoo, mama fekero akaiga na yeye ikabuma ahahaaah, dah kweli mama ubaya ajipange, hivi sasa hiv kanunua nyumba wapi? maana mwenzetu kila mahali ana nyumba ahahahaah
Akaandaa black party utadhani wafiwa na zile nguo nyeusiIle party ilikua nyokoo, mama fekero akaiga na yeye ikabuma ahahaaah, dah kweli mama ubaya ajipange, hivi sasa hiv kanunua nyumba wapi? maana mwenzetu kila mahali ana nyumba ahahahaah
Uwiiiiii hucheki kama mimi binamu,yaani nacheka kama mwendawazimu.
Na hapa naandaa mbavu vizuri maana nimemkabidhi kazi mkali wangu wa hizi kazi GENTAMYCINE..... leo hapalaliki aisee.
Elfu 40 my foot.....Atsoko sipajui au?lipstick nzur tena original elfu 18.Duka limebuma anatafuta kiki sasa kupitia mimba,ama kweli akili ni Mali.Elf 40 atamuuzia nani team yake walivojipaukia wajikute wanatoa elf 40 kununua lipstick Thubutuuuuuuu labda auze buku buku
Ha ha ha huyo mama nae ni jipu aisee.Ila mama Wema ana matusi jamani khaaa!!
Hivi ni mzaliwa wa wapi huyu mama?
Teh teh teh...halafu mwenyewe eti analalamika kuchorwa mwili wake akiwa na mabaka.
Hapo kwenye video hadi akazunguruka kabisa kulionyesha umbo lake.
Anakwambia hapaki mkorogo na wala hajui kukorogwa teh teh teh.
Huyu mama huyu....
Halafu mwishoni kamalizia na 'thubutu kumamayo mtabakia kuchukuliana wanaume'.
Ha ha ha ha ha mama wa kinyaturu from singidaIla mama Wema ana matusi jamani khaaa!!
Hivi ni mzaliwa wa wapi huyu mama?
Teh teh teh...halafu mwenyewe eti analalamika kuchorwa mwili wake akiwa na mabaka.
Hapo kwenye video hadi akazunguruka kabisa kulionyesha umbo lake.
Anakwambia hapaki mkorogo na wala hajui kukorogwa teh teh teh.
Huyu mama huyu....
Halafu mwishoni kamalizia na 'thubutu kumamayo mtabakia kuchukuliana wanaume'.
Mi mwenyewe najua hiyo mimba ni kik tu hakuna mimba wala niniElfu 40 my foot.....Atsoko sipajui au?lipstick nzur tena original elfu 18.Duka limebuma anatafuta kiki sasa kupitia mimba,ama kweli akili ni Mali.
Kwahyo wema ndo Bado kijana tangu 2009 mpk Leo yeye ana miaka 26 tuTeynaaaaa,huyu bibi kizee nae leo kalikoroga.
Asiyekaa alee watoto wake wanne anahangaika na Wema.
Ha ha ha ha ha ha ha we nae una mkwara uwiii nmechekaHivi Ni Nani Tena Huyo POPOMA Uliyeniuzia " BIFU " Lako Na Yeye? Nimeshamsahau Na Sasa Nataka Nimlie " Timing "
Huyo Idrissa sasa hivi atadharaulika....coz kaingia katika game asiyoimudu.Mi mwenyewe najua hiyo mimba ni kik tu hakuna mimba wala nini
Anajitafutia jina "kiboko ya wagumba"Huyo Idrissa sasa hivi atadharaulika....coz kaingia katika game asiyoimudu.
Ha ha ha ha ha mama wa kinyaturu from singida
Heeee anajifanya kiboko ya wagumba sugu.πAnajitafutia jina "kiboko ya wagumba"
Nmecheka sana hivo clip za mama na mwanae lolMwenyewe eti anajiita 'Mnyaturu laivu'π
Sijui kujiita mnyaturu laivu ndo kamaanisha niniMwenyewe eti anajiita 'Mnyaturu laivu'π