Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Nyie mnao mwita Wema mtoto ndio mnazidi kumuharibu aendelee kuwa mpuuzi, ana utoto gani kama alikiri mwenyewe katoa mimba ya marehemu kanumba? Kazidi miaka 25 anaelekea 30 bado mtot, ndio maana alitoa mimba ili asizae kwa kuwa nae ni mtoto? Aelezwe ukweli tu nae ajiongeze maisha ya fake, fake, fake hayatamsaidia anashindwa hata na LULU? Lulu mwenyewe ana fight na hataki kuitwa mtoto, huyu mama ubaya eti mtoto, mtoto, anapakata baba zake kwa foleni na anawatoa jaso bado mtoto, sifa mbovu hizi.
Kwel mkuu amezeeka kabaki sauti tuu atazeeka vibaya sana siokwa kujichubua kule
 
Ile party ilikua nyokoo, mama fekero akaiga na yeye ikabuma ahahaaah, dah kweli mama ubaya ajipange, hivi sasa hiv kanunua nyumba wapi? maana mwenzetu kila mahali ana nyumba ahahahaah
Atawadanganya hao hao....hana nyumba wala ushuzi,kapanga huko ununio.Asubiri **** imshuke kama sikio la tembo ndo atajua kumbe **** inazeeka.
 
Ile party ilikua nyokoo, mama fekero akaiga na yeye ikabuma ahahaaah, dah kweli mama ubaya ajipange, hivi sasa hiv kanunua nyumba wapi? maana mwenzetu kila mahali ana nyumba ahahahaah
Akaandaa black party utadhani wafiwa na zile nguo nyeusi
 
Ila mama Wema ana matusi jamani khaaa!!

Hivi ni mzaliwa wa wapi huyu mama?

Teh teh teh...halafu mwenyewe eti analalamika kuchorwa mwili wake akiwa na mabaka.

Hapo kwenye video hadi akazunguruka kabisa kulionyesha umbo lake.

Anakwambia hapaki mkorogo na wala hajui kukorogwa teh teh teh.

Huyu mama huyu....

Halafu mwishoni kamalizia na 'thubutu kumamayo mtabakia kuchukuliana wanaume'.

 
Ila mama Wema ana matusi jamani khaaa!!

Hivi ni mzaliwa wa wapi huyu mama?

Teh teh teh...halafu mwenyewe eti analalamika kuchorwa mwili wake akiwa na mabaka.

Hapo kwenye video hadi akazunguruka kabisa kulionyesha umbo lake.

Anakwambia hapaki mkorogo na wala hajui kukorogwa teh teh teh.

Huyu mama huyu....

Halafu mwishoni kamalizia na 'thubutu kumamayo mtabakia kuchukuliana wanaume'.


Ha ha ha huyo mama nae ni jipu aisee.
 
Ila mama Wema ana matusi jamani khaaa!!

Hivi ni mzaliwa wa wapi huyu mama?

Teh teh teh...halafu mwenyewe eti analalamika kuchorwa mwili wake akiwa na mabaka.

Hapo kwenye video hadi akazunguruka kabisa kulionyesha umbo lake.

Anakwambia hapaki mkorogo na wala hajui kukorogwa teh teh teh.

Huyu mama huyu....

Halafu mwishoni kamalizia na 'thubutu kumamayo mtabakia kuchukuliana wanaume'.


Ha ha ha ha ha mama wa kinyaturu from singida
 
Back
Top Bottom