Asante Madame Victoire ,nilitaka kuhoji hivyohivyo.sasa kama team wema walianza si apambane na hao team wema?mara ngapi team zari wanamnanga wema ;lakini sijawahi ona wema anawajibu kwa kurusha vijembe kwa zari?
Zari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuuYaan zari hajiamini na siku akimwagwaaaa ataiona insta chungu mbwa huyo,,ndio maana anazunguka kama tiara ,mashavu yashachuma kunde bado Tu kujifanya mtoto na weupe wake WA dekio mxciewww
HahahaaaaaaZari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu
Ana heri mwanaume aliye/atakaye kuoa. Mwanamke mbea anakuwaga mtyamuuuu...Napitwaje sasa?Hii ndio raha ya kuishi mujini (umbea).
Kijijini kulima tu
Hao wanaotaka DNA wao wanawajua baba zao wamuache boss lady sie madaktari wa mitandaoni tushafanya DNA siku nyiiingi lile domo la tiffah copy na diamond kabisa he he hebahati mbaya ile post wamefuta nilisahau kuscreenshot wanamsema zari na mwanae eti akaleteDNA kama alivyoonesha ultrasound
Angekuwa anajielewa asingeolewa na huyo diamond alafu wakaenda kuishi porini huko na tumbiliHahahahaa nacheka kama mazuri,kanikera sana leo.
Halafu huyu ndio watu wanamsifia kuwa anajielewa!
Kama sio stress na uswahili uliomjaa ni nini?
Kwahiyo kijana anaishi kwa maneno yake.... ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani... sio?Hivi bwana ninae mimi,naanzaje sasa kurusha vijembe kwa X?Zari hajiamini kwanza yule mtoto angekuwa wa diamond biologically zari angeshaweka majibu ya DNA ili kuwaziba midomo wavimba macho
Ndo tabia za wanawake hizoHivi bwana ninae mimi,naanzaje sasa kurusha vijembe kwa X?Zari hajiamini kwanza yule mtoto angekuwa wa diamond biologically zari angeshaweka majibu ya DNA ili kuwaziba midomo wavimba macho
Zari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu
Wewe mbona hutazamiki lakini humu unaitwa mrembo??Zari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu
kwa wale walivyo wangeshaweka majibu ya DNA,ila ndo hivyo tena hakuna mtoto alie haramu hata kama siyo wake biologicallyKwahiyo kijana anaishi kwa maneno yake.... ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani... sio?
Ama kweli kitanda hakizai kharam...