Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #41
Asante Madame Victoire ,nilitaka kuhoji hivyohivyo.sasa kama team wema walianza si apambane na hao team wema?mara ngapi team zari wanamnanga wema ;lakini sijawahi ona wema anawajibu kwa kurusha vijembe kwa zari?
Iweje achokozwe na team kisha amshambulie Wema?
Kama sio stress na uswahili uliomjaa ni nini?