Umbea kama huu tuwe tunaitana shoga...vibaya hivo.Yaan zari hajiamini na siku akimwagwaaaa ataiona insta chungu mbwa huyo,,ndio maana anazunguka kama tiara ,mashavu yashachuma kunde bado Tu kujifanya mtoto na weupe wake WA dekio mxcieewww
Umbea kama huu tuwe tunaitana shoga...vibaya hivo.
Asante.Poa, na wageni wengi celeb forum kwa uzi huu wengine tunawasoma kidogo kidogo kwanza....aaagh.
Yani ungetumia muda huo kifuatilia maisha ya watu na ku invest on yourself am sure ungekuwa mbali. Listen to Les brown and get inspired. You are investing most of your time into other ppl's life. Shame on you
Mimi nadhani mshedede aliokuwa anapewa na Dangote a.k.a mzee wa madale bado hajaupata kwingine.Marafiki na ndugu wakaribu wa huyu mdada msaidieni this is wayyyy beyond stalking. Kina Penny mbona wamemove on.Shida yake nini?
BADO HAJALIPA HUYOKalipa wapi wala hajalipa MSAGA SUMU alisema wema ndo alisababisha mgao wa umeme lol
Nishapoa mwaya...niko poapole tulikusahau jamani hahahaha
si Nilisikia huyo mdada mpya(mpangaji)wa Dimond hajui kiswahili vyema?mbona ameandika vizuri sana? nadhani hii post ya kiswahili kaandikiwa na mmiliki wakiwa chumbani
Nishapoa mwaya...niko poa
Dogo alistuka demu analetewa Zawad ya BMW kwenye birthday eti imetoka kwa Kadinda ha ha ha yaan huyu superstar wao maisha yake ni kitabu sijui hii team yake kwa nini wasijiite vicheche FCUkiwa jamvi la wageni wewe ni maji maramoja....huyo bibie alijua chibu boya atambabaikia kutemwa 2 hali ikawa mbaya ***** zake n yeam vigodoro vyake