Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
uliona wapi wake wenza wakapatana?maana wale wote wanampenda moseMwengi alikua akipost vitu vya ke aunt anamjibu naona wamepatana ha ha ha wamepatanishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uliona wapi wake wenza wakapatana?maana wale wote wanampenda moseMwengi alikua akipost vitu vya ke aunt anamjibu naona wamepatana ha ha ha wamepatanishwa
Mwambie alete gari yake moja hapa sio kubanana kwenye kile kibmw kibovu... Kwani si kahamia bongo moja kwa moja au??Eti mwenyewe unajitekenya alafu unacheka..
Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu.
Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?
Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.
Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)
Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.
Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.
Nimeatach na screen shots za matukio yote.....
Ila nifah kila kitu unamsifia wema..nachojua wema ni mswahili buwa anatumia mgongo wa team zake kutukana na hajawahi kana kuwa hahusiki
Na research inaonesha hao mateam wema wanalipwa mshahara..so tupunguze ushabiki maandazi
Wakulima wa vitunguu hawa kule sitimbiNdio kina nani hao!?
Hata kama huwazi.pesa ya kusomesha...mwanamke lazima uwaze progress yao...... mwanamke hawezi kuacha kuwawazia wanaeHawazi watoto hela za kuwasomesha zipo ana uhakika na maisha....muda huo wema anazungusha akili kuwaza atawapataje watoto
Hakuna lolote hawa wote ni wazee wa miaapplication tu..full kijieditNajua wanajiongeza ila sweetheart rangi ya ngozi yake nani asoijua, ipo kama batiki tu
Kwa hilo fifty fifty tena bora kik za zari ni za kweli anachofanya ni show off sio mama wa fekelo fake house, fake cars, fake mimba fake harusi
Hakuna uswahili kwa ma celeb kujibiana ni kitu cha kawaida...trending now..chekini insta beaf ya 50cent na meek mill ..ndio mtupe majibu kama nao no waswahiliKugombana na kurushiana vijembe hakuna uswahili, uzungu, uchina, uhindi, wala uarabu.
Sasa iweje mtu akirushiana vijembe na mtu aitwe au aonekane mswahili ilhali hata watu wa rangi zingine na wa mataifa mengine nao hurushiana vijembe?
Sasa kwa mfano wazungu wanaorushianaga vijembe na kupigana nao wana mambo ya 'kiswahili'?
Na hivi ni kwa nini 'uswahili' uhusishwe na mambo ya sifa mbaya?
Ni ujuha na ujinga tu kufanya hivyo.
Uzungu ni kujipiga dildo na kujirekodi kisha kuirusha kwenye mitandaoUswahili niii....kuiba umeme
Uswahili niii....kusema mtoto wa mwenzako mbaya wakat huna unalea vijibwa tu kwako
Uswahili nii....
Mi naweka ukweli tu na si uzushi.
Si umeona na kusikia mwenyewe hayo maneno ya 'wazungu' [Wema na mamake]?
Hebu ona hapo anavyorukaruka utadhani kapandwa na mashetani...teh teh teh.....na hicho kipara ng'oto...hmmmm
Nyani ngabu big up..umewanyoshe clip zako zinatosha kuona nani ni mswahili au classic
Hata malezi ya kifamilia
Acha unafiki mkuu sijaona sehem pameandikwa wema Mzungu Acha kujitekenya hapo anaongelewa Zari kua Mswahili.Zari kua Mswahili haimaanishi Wema kawa Mzungu.
Jifunze kusoma na kuelewa Acha kukurupuka.
Hakuna cha bora wala nini wote fake ... Wema ufake wake unaonekana sababu tuponae bongo...... Zari ni fake zaidi ya mmjuavyo fake offices, fake cars, fake bosslady....mpaka mwili wote ni fake so hakuna bora wala nini...... Bosslady hawi na mda wa kujibizana na vitoto vya olevo insta kwenye principals za ubosslady zari hana hata moja alijitahidi kujaribu enzi za ivan ila anajipa tittle ambayo hana in real lifeKwa hilo fifty fifty tena bora kik za zari ni za kweli anachofanya ni show off sio mama wa fekelo fake house, fake cars, fake mimba fake harusi