Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Weka na ile ya wema ya sita kichwa uone alivo kama kitumbuaZari kabla ya filters....heheheee.
Ooh Zari mzuri,mzuri my foot
Hiki kizee ndio kinashindana na wasichana Instagram!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka na ile ya wema ya sita kichwa uone alivo kama kitumbuaZari kabla ya filters....heheheee.
Ooh Zari mzuri,mzuri my foot
Hiki kizee ndio kinashindana na wasichana Instagram!
Uzi una Page nyingi sana lakini unaongelea mambo ya kijinga kabisa ambayo hayana faida yoyote kwa taifa hili tena utakuta mwanaume nae kashashidia mambo ya kipumbavu kama haya ndo hii nchi hatuna maendeleo maana wajinga wengi sana wanaowaza muda wote mambo ya kipumbavu na umbea muda wote nchi ina wajinga wengi.
Nendeni jf intelligenceLife is too short to deal with useless issues like this.
ZARI, WEMA, HUDDAH, VERA SIDIKA ni malaya waliokubuhu East Africa... Hawa hawajatofautia chochote..Wewe?Subiri kwanza ninywe chai nipige kazi then nitarudi.
Ila naomba nikirudi hapa nikute mali za Zari peke yake na sio za Ivan wala domo ndio ligi itakuwa nzuri.
Wema kaanza kuuza 2006 juzi tu hapo utathubutu kumfananisha na Zari aliyeanza kuuza tokea miaka ya 80?
Tena hadi akaolewa ndoa ya kimila kisa mali?
Huyo Zari nae alikuwa majalala tu,amshukuru Ivan alivyomuokota huko....
umelima heka ngapi za UMBEA mpaka sasa na umevuna migunia mingapi😱😛😵Napitwaje sasa?Hii ndio raha ya kuishi mujini (umbea).
Kijijini kulima tu
Wote ametembea, nao yule
MKuu B plain inaanzia 55Unachokijua mfahamishe na mwenzio, wazazi ngoja niwaambie kitu mlichofichwa ktk mfumo wa elimu ya kipindi hiki cha siasa
Mfano mwanao alikuwa anasoma masomo 9 na alama zake Ni hizi zifuatazo katika mfumo wa zamani
Civics 20 F
Geogr 20 F
Kisw 20 F
Chem 20 F
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F
Jumla ya alama 140 wastani 15 AMEFELI❌
anarudia darasa Kwa sababu zaman chini ya 30 unarudia darasa
Alama za Mwanafunzi huyohuyo Leo zinakuwa kama ifuatavyo
Civics 20 E
Geogr 20 E
Kisw 20 E
Chem 20 E
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F
Jumla ya points 8 GPA 0.3 PASS✔ anaingia kidato cha tatu Kwa raha zake
Wanakuambia mfumo huo Ni wa chuo kikuu waongo, angalia hii cha chuo
100-75 A
74-61 B+
51-60 B
41-50 C
40-0 F
ndo maana chini ya 41 Ni sup Mwanafunzi anarudia mtihani
Kama ndo hivyo hata sekondari Mwanafunzi akipata chini ya 41 arudie mtihani ili tujue kuwa kweli mfumo wa secondary Ni sawa na wa chuo,
Walifanya hivi kuwachanganya wazazi kwasababu wazazi ukiwaambia nimepata wastani wa 21 wanajua ww mjinga ukiwaambia umepata GPA 0.3 PASS wanasema wewe kichwa hiyo Ni Kwa form 2
Kwa form 4 ukimuambia mtu umepata div3 point 25 anakuambia hongera mwanangu umejitahidi
Lakini sikuhizi ukimuambia umepata credit ya GPA 2.0 lazima atoe macho haelewi kitu, na wewe unayesoma hii post najua hujui kitu
KAMA NA WEWE NI MDAU WA ELIMU PIGA VITA MFUMO WA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU VIRUDI VYA ZAMANI TUNATAKA KIDATO CHA PILI WAPIMWE KWA WASTANI NA KIDATO CHA NNE KWA DIVISION
sidhani kama kuna mtu aliwahi kulalamika kuwa mfumo wa zamani haufai, madudu kwenye elimu tuyatoe
Nimekuelewa Sana itabidi hii meseji isambazwe. Na wazazi waelimishwe.Unachokijua mfahamishe na mwenzio, wazazi ngoja niwaambie kitu mlichofichwa ktk mfumo wa elimu ya kipindi hiki cha siasa
Mfano mwanao alikuwa anasoma masomo 9 na alama zake Ni hizi zifuatazo katika mfumo wa zamani
Civics 20 F
Geogr 20 F
Kisw 20 F
Chem 20 F
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F
Jumla ya alama 140 wastani 15 AMEFELI❌
anarudia darasa Kwa sababu zaman chini ya 30 unarudia darasa
Alama za Mwanafunzi huyohuyo Leo zinakuwa kama ifuatavyo
Civics 20 E
Geogr 20 E
Kisw 20 E
Chem 20 E
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F
Jumla ya points 8 GPA 0.3 PASS✔ anaingia kidato cha tatu Kwa raha zake
Wanakuambia mfumo huo Ni wa chuo kikuu waongo, angalia hii cha chuo
100-75 A
74-61 B+
51-60 B
41-50 C
40-0 F
ndo maana chini ya 41 Ni sup Mwanafunzi anarudia mtihani
Kama ndo hivyo hata sekondari Mwanafunzi akipata chini ya 41 arudie mtihani ili tujue kuwa kweli mfumo wa secondary Ni sawa na wa chuo,
Walifanya hivi kuwachanganya wazazi kwasababu wazazi ukiwaambia nimepata wastani wa 21 wanajua ww mjinga ukiwaambia umepata GPA 0.3 PASS wanasema wewe kichwa hiyo Ni Kwa form 2
Kwa form 4 ukimuambia mtu umepata div3 point 25 anakuambia hongera mwanangu umejitahidi
Lakini sikuhizi ukimuambia umepata credit ya GPA 2.0 lazima atoe macho haelewi kitu, na wewe unayesoma hii post najua hujui kitu
KAMA NA WEWE NI MDAU WA ELIMU PIGA VITA MFUMO WA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU VIRUDI VYA ZAMANI TUNATAKA KIDATO CHA PILI WAPIMWE KWA WASTANI NA KIDATO CHA NNE KWA DIVISION
sidhani kama kuna mtu aliwahi kulalamika kuwa mfumo wa zamani haufai, madudu kwenye elimu tuyatoe
ZARI, WEMA, HUDDAH, VERA SIDIKA ni malaya waliokubuhu East Africa... Hawa hawajatofautia chochote..
Huyo Zari akiwa kwenye umri wa hawa akina Wema, Huddah nae alikuwa kama wao tu... Ila huyu Zari anatakiwa aache ujinga na nadhani hata huyo bwanake Diamond anachokifanya hawara yake..
ebu tutolee upuuzi na wewe, wewe mama ako anavyopiga umbea apo kwenu huwa analipwa?
hivi huwaga mnalipwa?
Mi sio mtanzania ni mnigeriaNdio apo chacha wamuache mtoto wawatu walivyokua na chuki nae mpaka wanadiriki kumkandia mtanzania mwenzao kwamtu wakuja khaaa
Wewe?Subiri kwanza ninywe chai nipige kazi then nitarudi.
Ila naomba nikirudi hapa nikute mali za Zari peke yake na sio za Ivan wala domo ndio ligi itakuwa nzuri.
Wema kaanza kuuza 2006 juzi tu hapo utathubutu kumfananisha na Zari aliyeanza kuuza tokea miaka ya 80?
Tena hadi akaolewa ndoa ya kimila kisa mali?
Huyo Zari nae alikuwa majalala tu,amshukuru Ivan alivyomuokota huko....