Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Uzi una Page nyingi sana lakini unaongelea mambo ya kijinga kabisa ambayo hayana faida yoyote kwa taifa hili tena utakuta mwanaume nae kashashidia mambo ya kipumbavu kama haya ndo hii nchi hatuna maendeleo maana wajinga wengi sana wanaowaza muda wote mambo ya kipumbavu na umbea muda wote nchi ina wajinga wengi.
Life is too short to deal with useless issues like this.
Nendeni jf intelligence
 
Wewe?Subiri kwanza ninywe chai nipige kazi then nitarudi.
Ila naomba nikirudi hapa nikute mali za Zari peke yake na sio za Ivan wala domo ndio ligi itakuwa nzuri.
Wema kaanza kuuza 2006 juzi tu hapo utathubutu kumfananisha na Zari aliyeanza kuuza tokea miaka ya 80?
Tena hadi akaolewa ndoa ya kimila kisa mali?
Huyo Zari nae alikuwa majalala tu,amshukuru Ivan alivyomuokota huko....
ZARI, WEMA, HUDDAH, VERA SIDIKA ni malaya waliokubuhu East Africa... Hawa hawajatofautia chochote..

Huyo Zari akiwa kwenye umri wa hawa akina Wema, Huddah nae alikuwa kama wao tu... Ila huyu Zari anatakiwa aache ujinga na nadhani hata huyo bwanake Diamond anachokifanya hawara yake..
 
marafiki.jpg


Huu si uzushi. Ni ukweli. Kama huamini angalia hii video hapa chini.

Anasema kabisa "ningekuwa na kisu ningemchoma mtu".



Hapa anatukana matusi ya nguoni kabisa.....



Haki ya nani Wema na mama yake ni mental cases.
 
Ya wema hayakuhusu upoo,tupo tunamshighulikia bibi yenuu hhhhaaaa watu mpaka wamechoka kutype sasa mwendo WA mavideoooo,insta sihami miee
 
Mbona na wewe hauyaachi kufatilia maisha Yao,kwani maselebretizi wapo hao tu,mbona nuhu na shilole haujaanzusha sredi?
 
Unachokijua mfahamishe na mwenzio, wazazi ngoja niwaambie kitu mlichofichwa ktk mfumo wa elimu ya kipindi hiki cha siasa

Mfano mwanao alikuwa anasoma masomo 9 na alama zake Ni hizi zifuatazo katika mfumo wa zamani

Civics 20 F
Geogr 20 F
Kisw 20 F
Chem 20 F
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F

Jumla ya alama 140 wastani 15 AMEFELI❌
anarudia darasa Kwa sababu zaman chini ya 30 unarudia darasa

Alama za Mwanafunzi huyohuyo Leo zinakuwa kama ifuatavyo

Civics 20 E
Geogr 20 E
Kisw 20 E
Chem 20 E
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F

Jumla ya points 8 GPA 0.3 PASS✔ anaingia kidato cha tatu Kwa raha zake

Wanakuambia mfumo huo Ni wa chuo kikuu waongo, angalia hii cha chuo
100-75 A
74-61 B+
51-60 B
41-50 C
40-0 F

ndo maana chini ya 41 Ni sup Mwanafunzi anarudia mtihani

Kama ndo hivyo hata sekondari Mwanafunzi akipata chini ya 41 arudie mtihani ili tujue kuwa kweli mfumo wa secondary Ni sawa na wa chuo,

Walifanya hivi kuwachanganya wazazi kwasababu wazazi ukiwaambia nimepata wastani wa 21 wanajua ww mjinga ukiwaambia umepata GPA 0.3 PASS wanasema wewe kichwa hiyo Ni Kwa form 2

Kwa form 4 ukimuambia mtu umepata div3 point 25 anakuambia hongera mwanangu umejitahidi

Lakini sikuhizi ukimuambia umepata credit ya GPA 2.0 lazima atoe macho haelewi kitu, na wewe unayesoma hii post najua hujui kitu

KAMA NA WEWE NI MDAU WA ELIMU PIGA VITA MFUMO WA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU VIRUDI VYA ZAMANI TUNATAKA KIDATO CHA PILI WAPIMWE KWA WASTANI NA KIDATO CHA NNE KWA DIVISION

sidhani kama kuna mtu aliwahi kulalamika kuwa mfumo wa zamani haufai, madudu kwenye elimu tuyatoe
MKuu B plain inaanzia 55
 
Hhhhaaa insta sihami sasa watu wamechoka kutype,Ni video Tu ya vichambo jamani hebu nirudikoo ,,,,eti bibi nae kasmile kisa wema kasmile hhhhaaa,, Nifah Mrembo by nature ungekuja ningecheka jamaniiii
 
mfumo huo wa elimu kwa upangaji wa matokeo unawachanganya wazazi saaaana hasa wasio jua kusoma
 
N
Unachokijua mfahamishe na mwenzio, wazazi ngoja niwaambie kitu mlichofichwa ktk mfumo wa elimu ya kipindi hiki cha siasa

Mfano mwanao alikuwa anasoma masomo 9 na alama zake Ni hizi zifuatazo katika mfumo wa zamani

Civics 20 F
Geogr 20 F
Kisw 20 F
Chem 20 F
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F

Jumla ya alama 140 wastani 15 AMEFELI❌
anarudia darasa Kwa sababu zaman chini ya 30 unarudia darasa

Alama za Mwanafunzi huyohuyo Leo zinakuwa kama ifuatavyo

Civics 20 E
Geogr 20 E
Kisw 20 E
Chem 20 E
Engl. 30 D
Hist. 30 D
Bios. O F
Math. O F
Phy. O F

Jumla ya points 8 GPA 0.3 PASS✔ anaingia kidato cha tatu Kwa raha zake

Wanakuambia mfumo huo Ni wa chuo kikuu waongo, angalia hii cha chuo
100-75 A
74-61 B+
51-60 B
41-50 C
40-0 F

ndo maana chini ya 41 Ni sup Mwanafunzi anarudia mtihani

Kama ndo hivyo hata sekondari Mwanafunzi akipata chini ya 41 arudie mtihani ili tujue kuwa kweli mfumo wa secondary Ni sawa na wa chuo,

Walifanya hivi kuwachanganya wazazi kwasababu wazazi ukiwaambia nimepata wastani wa 21 wanajua ww mjinga ukiwaambia umepata GPA 0.3 PASS wanasema wewe kichwa hiyo Ni Kwa form 2

Kwa form 4 ukimuambia mtu umepata div3 point 25 anakuambia hongera mwanangu umejitahidi

Lakini sikuhizi ukimuambia umepata credit ya GPA 2.0 lazima atoe macho haelewi kitu, na wewe unayesoma hii post najua hujui kitu

KAMA NA WEWE NI MDAU WA ELIMU PIGA VITA MFUMO WA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU VIRUDI VYA ZAMANI TUNATAKA KIDATO CHA PILI WAPIMWE KWA WASTANI NA KIDATO CHA NNE KWA DIVISION

sidhani kama kuna mtu aliwahi kulalamika kuwa mfumo wa zamani haufai, madudu kwenye elimu tuyatoe
Nimekuelewa Sana itabidi hii meseji isambazwe. Na wazazi waelimishwe.
 
ZARI, WEMA, HUDDAH, VERA SIDIKA ni malaya waliokubuhu East Africa... Hawa hawajatofautia chochote..

Huyo Zari akiwa kwenye umri wa hawa akina Wema, Huddah nae alikuwa kama wao tu... Ila huyu Zari anatakiwa aache ujinga na nadhani hata huyo bwanake Diamond anachokifanya hawara yake..

ndio tunachowaambia hapa wasikalie kusema wema Malaya wakati wote Malaya ILA wamezidiana kidogo,ngoja nikachungulie uchi WA duniaaa mzima umemwaga insta mwaaaaaaaaaa
 
Unajua sector ya elimu imekua kama kisamvu cha makaburini.. Kila mtu anafanya atakavyo... Maana kile kisamvu hakina mwenyewe... Kwakweli wazazi na walezi tushtuke.
 
Nashangazwa tu na jinsi watu mnavyomchukia huyo wema kiasi hiki. Mpaka kumtukana matusi ya nguoni... why so much hate???
Huyo zari mwenyewe sioni huo u classy alionao.
Let her (wema) be jamani.
 
Wewe?Subiri kwanza ninywe chai nipige kazi then nitarudi.
Ila naomba nikirudi hapa nikute mali za Zari peke yake na sio za Ivan wala domo ndio ligi itakuwa nzuri.
Wema kaanza kuuza 2006 juzi tu hapo utathubutu kumfananisha na Zari aliyeanza kuuza tokea miaka ya 80?
Tena hadi akaolewa ndoa ya kimila kisa mali?
Huyo Zari nae alikuwa majalala tu,amshukuru Ivan alivyomuokota huko....

hivi kule kijijini boss kashindwa kusaidia akapiga lipu nyumba ?nilicheka alienda kutoa msaada toilet pepa nyingi balaaa heeee Kuna mtu akauliza umeona hao watoto wanapenda kujisaidia sanaaa,?amshukuru Ivan kamsitiri,na Daimond alivyo bahili ataishia kupewa keki kwenye birthday,umeona kinglaw kaweka picha ya tifa
 
Back
Top Bottom