Kimenuka: Kamati ya maadili ya TFF yakutana kumjadili Makamu wa Rais Michael Wambura

Kimenuka: Kamati ya maadili ya TFF yakutana kumjadili Makamu wa Rais Michael Wambura

Ni aibu sana kiongozi wa juu kama huyo kufikishwa mbele ya kamati ya maadili
 
Yamkini huenda ukawa msumari wa mwisho kwenye soka kwake
 
Kweli yawezekana ikawa mwisho wa wambura ktk soka la bongo,maana yeye alienda TFF ikiwaza kwenda kupiga dili.Kwisha habari.uwa simpendi huyu jamaa kwa tabia zake.alishaga tuaribia sana soko miaka iliyopita.
 
Mpira wa bongo kuja kukua its like ndoto za abunuasi...afu unaitaji wachezaji wawe patriots damn...!! Bora awe mzalendo kene club
 
Kamati ya maadili ya TFF inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine itajadili suala la Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura aliyefikishwa kwenye kamati kwa makosa matatu.

Kosa la kwanza ni kupokea fedha za TFF isivyo halali.

Pili kugushi barua

Pamoja na kushusha hadhi ya TFF


Karibu shutuma zote za makosa ya kifedha zinazolikabili soka la Tanzania, zaidi ya asilimia 90 huwahusu viongozi wenye uhusiano wa moja kwa moja na timu ya SIMBA S.C.
Mfano. Rage, aveva na wenzake, hajimanara, Wambura, n.k
 
Malinzi ndo alimtoa kifungoni wambura lakini tabia ni zaidi ya ngozi
Malinzi leo yupo ndani inaonekana wambura nae atamfuata wakapige stori
 
Kamati ya maadili ya TFF inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine itajadili suala la Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura aliyefikishwa kwenye kamati kwa makosa matatu.

Kosa la kwanza ni kupokea fedha za TFF isivyo halali.

Pili kugushi barua

Pamoja na kushusha hadhi ya TFF


TFF AIMWACHIIMTU SALAMA
 
Sijúi kwa nini viongozi wenye nasaba na simba huwa wezi wezi!

hii ni kweli mkuu! unamkumbuka hassan hasanoo kesi ya wizi wa kontena la shaba?...na kuna mwingine kafungwa miaka 50 china kwa kesi ya ngada
 
Wasukuma huwa tuna msemo wa kutahadharisha watu, huwa tunasema "SHOKASHOKA IKASHOKELAGA NA YINGI" huyu Wambura akanyee debe tu aliyataka mwenyewe. Kurudi rudi kwake TFF ndiyo alikuwa anayatafuta haya!
 
Kamati ya maadili ya TFF inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine itajadili suala la Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura aliyefikishwa kwenye kamati kwa makosa matatu.

Kosa la kwanza ni kupokea fedha za TFF isivyo halali.

Pili kugushi barua

Pamoja na kushusha hadhi ya TFF


Wambura anawaza wizi tu kila siku , alipewa uongozi pale simba kidogo tu lakini aliafuna hadi mifupa !
 
Back
Top Bottom