Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NA inapotokea malalamiko hayo yanapotolewa na mmojawapo wa wasanii vinara nchini inatisha zaidi!Ni mameno mazito sana ambayo yametendewa haki kwa kuandikwa kwa wino mwekundu.
Haiwezekani kila msanii awalalamikie akina Ruge tuu, lipo tatizo.
Very breaking news......khaaaaa......!!
nikirudi kwenye topic.......mpaka Jide ameongea.....kweli hao majamaa ni mashetwain........mdada wa watu anajitahidi sana.......inaudhi kuona mtu anajituma kwa jasho lake.....mwingine anamrudisha nyuma.....kwa hili kwa kweli......limenigusa.......
Huyu ni kinega mkomavu. Hii ni Anti virus IV. Hadi msibani wasihudhurie na wala redio yao ya wafu isitangaze kifo chake??? Kusaga tokea amezaa na Zamaradi naona nuksi zinamuandama tu
Damn! What the flip is going on between her and them?
So far I've seen shots being fired from one side only and the other side is not returning any fire (at least not publicly).
Just wondering why is she so mad. What exactly did they do to her to make her this mad?
Kakasirika maana clauz and Co. wamemfungia njia zote na wanajaribu kumzibia hata vichannel vichache alivobakiza kujipatia riziki maskini dada wa watu. Duniani kuna watu wana roho mbaya usiombe mtu akufitini hasa sehemu unayopatia kipato, utaongea yote zaidi ya haya alioongea Jide kama sio kuwa chizi na kujiua.
Wamemzibiaje lakini? Na kuna ushahidi gani kwamba wamemzibia? Na kwani Clouds wao ndo wamiliki na wahodhi wa riziki zote za burudani Tanzania nzima hadi kuweza kumzibia msanii kama yeye au hata mwingine?
Msome vizuri utaelewa mkuu, katoa ya moyoni.
Hata kama kayatoa kwenye ini ukweli ni kwamba upande wa pili bado haujafunguka hadharani hivyo hatuwezi kutoa mtazamo wenye uwiano mzuri.
Si umesikia wanamfitini afukuzwe kwenye hoteli anayopigia...watamfuata pale alipopanga hoteli yake wamkatalie kuendelea kupanga pale!siwajua watu wakikutafuta wanaziba mirija yako tu,unakimbia mji mdomo juu kama mbwa koko!ni mbaya sana kuziba riziki za watu kama nyie ndio Miungu watu!tusubiri kama watajibu haya mapigo maana yamekuwa makali sana!
Aiseee kungekuwa na wasanii 10 kama dada yang ww, naamini unyonyaj wa clouds ungeisha. Mungu ndo mtoaji wa rizki, wabane wabanavyoo, yeye ndo final say. Inshaallah mola atawalipa hapa hapa duniani.
Lakini wadau...?Mimi si msikilizaji saana wa redio za hapa lakini kila nikisikiliza nakugunfulia hiyo redio tajwa kwa namna moja au nyingine naona kama wasanii wanaotajwa ni walewale kila siku na nyimbo zinazopigwa ni hizo hizo kwa namna ya uchunguzi wangu wa haraka inawezekana wasanii wanaopigwa sana na hii redio ni wasanii wao na sio vinginevyo, kuna wasanii kama Diamond, Bob Junior, Shilole, Lina, Barnaba, kila siku lazima watajwe japokuwa sio wote ni wakali... Ni mara chache sana utasikia wasanii kama Prof Jay, Afande sele, Solo Thang, Joh Makini au wasanii tofauti na wanaotoka THT wanatajwa na kupigwa nyimbo zao mara kwa mara mimi nina wasiwasi sana hii ni redio ya propaganda au ipo kwa manufaa ya watu fulani fulani, maana Lady Jaydee sio msanii mdogo na huwezi mfananisha na msanii yeyote Tanzania kwa mafanikio na level alizofikia sasa hivi...Kama wasanii watakuwa wanaogopa kikundi cha watu fulani fulani basi hakika hawatafika popote zaidi ya kufa masikini