Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama kayatoa kwenye ini ukweli ni kwamba upande wa pili bado haujafunguka hadharani hivyo hatuwezi kutoa mtazamo wenye uwiano mzuri.
Umeshasikia upande wa pili una hoja gani au hujali hata kusikia?
labda na wao tungewasikia.......japo sina kumbukumbu ya kuwasikia wakijibu shutuma zao......ila ni kwa nini wao tu kila mara.......?
ni kwamba SOLO hana uhusiano mzuri na hawa jamaa kwa muda mrefu sana kabla hajaenda UK,mara nyingi nilikua nikinsia on air redio wani akipayuka,Lakini wadau...?Mimi si msikilizaji saana wa redio za hapa lakini kila nikisikiliza nakugunfulia hiyo redio tajwa kwa namna moja au nyingine naona kama wasanii wanaotajwa ni walewale kila siku na nyimbo zinazopigwa ni hizo hizo kwa namna ya uchunguzi wangu wa haraka inawezekana wasanii wanaopigwa sana na hii redio ni wasanii wao na sio vinginevyo, kuna wasanii kama Diamond, Bob Junior, Shilole, Lina, Barnaba, kila siku lazima watajwe japokuwa sio wote ni wakali... Ni mara chache sana utasikia wasanii kama Prof Jay, Afande sele, Solo Thang, Joh Makini au wasanii tofauti na wanaotoka THT wanatajwa na kupigwa nyimbo zao mara kwa mara mimi nina wasiwasi sana hii ni redio ya propaganda au ipo kwa manufaa ya watu fulani fulani, maana Lady Jaydee sio msanii mdogo na huwezi mfananisha na msanii yeyote Tanzania kwa mafanikio na level alizofikia sasa hivi...Kama wasanii watakuwa wanaogopa kikundi cha watu fulani fulani basi hakika hawatafika popote zaidi ya kufa masikini
Ni mameno mazito sana ambayo yametendewa haki kwa kuandikwa kwa wino mwekundu.
Haiwezekani kila msanii awalalamikie akina Ruge tuu, lipo tatizo.
Damn! What the flip is going on between her and them?
So far I've seen shots being fired from one side only and the other side is not returning any fire (at least not publicly).
Just wondering why is she so mad. What exactly did they do to her to make her this mad?
Damn! What the flip is going on between her and them?
So far I've seen shots being fired from one side only and the other side is not returning any fire (at least not publicly).
Just wondering why is she so mad. What exactly did they do to her to make her this mad?
Khaaaaa na kiingereza kitamu kweli wewe kijana ....
Ramba skrini yako basi unambie ni kitamu kama asali au sukari guru