Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
huyu mwanamke ni mnafiki sana.
huyu mwanamke ni mnafiki sana.
Huyu ni kinega mkomavu. Hii ni Anti virus IV. Hadi msibani wasihudhurie na wala redio yao ya wafu isitangaze kifo chake??? Kusaga tokea amezaa na Zamaradi naona nuksi zinamuandama tu
Namkubali sana huyu dada kaamua kufunguka hao clouds na Ruge wao wamenyonya sana wasanii ! Big up Jadee umefungua mlango kwa wasanii wengine!
Tumsamehe, yale majini bado YANAMSUMBUA.
Mmetumwa kuja kupima upepo wakati watu wanadhulumiwa na clouds daily hakuna unafiki habari ndio hiyo.clouds ni wezi.