kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,829
Kama hujatumwa basi unajifanya kutomuelewa jide, jay dee kaandika mambo ya msingi sna kwamba kwann wanaziba mirija ya ridhiki zake, pia mtu huwezi kumbeba kam hana kipaji kam n hvyo kwanin wasiwabebe dada zao au watoto wao, la mwisho kwann kila siku no clouds tuuuuu dhisi ya sugu,rama d, mapacha, msimamo, mkoloni, afande sele, solo,prof jay hata saida karoli!
miaka 10 jay d yuko kwenye game,lini ulimsikia akilalamikia Madistributor na clouds,kama sio unafiki ni nini?