Kimenuka! leo hii Wa-south africa wafanya Msako wa kutafuta raia wa kigeni wasio na vibali, Mtanzania apigwa

Hakukuwa na haja ya kumpiga hata kama ni mhamiaji haramu.
Hapo ndo upumbavu ulipo.
Tanzania tunakamata wahamiaji wengi lakini hawapigwi bali urudishwa kwao.

Hiz Tabia za wasouth inaonyesha hawajastaarabika pamoja na kuwa kwenye nchi iliyoendelea
Madhara ya kurithi maendeleo bila kuwa sehemu ya mchakato husika! Unabaki na personality yako dhaifu na chuki kwa watakaoziona fursa pembeni yako na kuzitumia!
 
Mtu mweusi hata awe Amerika, Europe, Australia, Caribbean, Asia, Greenland au Antarctica bado ana chembe chembe za upumbavu na ujinga.

Katika watu wanao sumbua hii dunia na kuifanya isiwe na Amani ni Waafrika watu weusi na waarabu.

Hizi races mbili zina upumbavu wa milele.

Wazungu wanatumia gharama kubwa sana kudhibiti upumbavu wa watu weusi na waarabu.
 
Qumamae zao hawa wasouth. Watanzania tusikubali. Nasisi tuanze kuwaua hawa mashoga wa South. Watoto wa kino anzeni na yule.msouth anaeishi hapo Mkwajuni.
Wengine tupo south baba zetu walitusomesha kwenye magari ya njano tunakula maisha ila hao waliosoma St. Kayumba kama wanao ndio hao wanaingia bila vibali wanachakazwa sura sasa kwa vipigo.

Acha ulevi somesha watoto wako shule nzuri we Jilevi.😀😀
 
Watu weusi wa south Africa bado wana ile mentality kuwa wageni wanakuja south Africa kuchukua Ajira zao .

Zamani maiaka 1900s kuja early 2000s kwenda south ilikuwa ni ndoto ya vijana wengi hustler.
Miaka ya 1900! Hebu toa 1900 kwenye 2024 kisha ufikirie miaka hiyo dunia ilikuwaje na nani angeweza kuwa na ndoto ya kwenda huko.
 
Watu weusi wa south Africa bado wana ile mentality kuwa wageni wanakuja south Africa kuchukua Ajira zao .

Zamani maiaka 1900s kuja early 2000s kwenda south ilikuwa ni ndoto ya vijana wengi hustler.
Wenyewe wavivu kazi kulewa na kukatika mauno tu
Kufanya kazi hawataki wageni wakija wachukua ajira roho zao zinawauma

Ova
 
Hawa jamaa tumewasaidia sana ila hawana shukran na mzee Mandela ameelezea kwenye kitabu chake cha LONG WALK TO FREEDOM ameitaja tanganyika ameitaja mbeya amemtaja mwalimu nyerere na baadhi ya viongozi wa Tanzania walivyomsaidia ila hawana shukran wazungu hawaguswi ila wenzao weusi ndio wanawachakaza.
 
Kizaz cha sahv huko cha walevi na wakata mauno hawawezi kuelewa wapumbv tu

Ova
 
Wasouth wenyewe hawataki kufanya kazi ...workshop, garage nyingi huko zimejaa wageni
Kwani wao wanakatwazwa kufanya kazi
Wapuuz tu haooo

Ova
Wale ni walevi na wavivu ndio maana waethiopia, wazimbabwe, wasomali na wanigeria wametakeover
 
Mkiambiawa, msimame kupinga sera mbovu za ccm hamtaki.
Matokeo yake Ajira hakuna mnakimbilia nchi za wenzetu.
Haya sasa kutaneni na watu wanao simama kupambana na sera mbaya ya ANC.
Na bado!
 
Ila jamaa ni kama kawaibia hao wadada pochi apigwi kwa sababu ya uamiaji

Maana mbona kuna watanzania wenzake wanasema kimbia na hawapigwi
 


Haiwezekani Mtanzania mwenzie aseme kimbia, si nayeye angejitia hatarini(?) Labda kuna sababu ingine - tusitie fitna. Inabidi hii ihakikishwe.

Kama nikweli itakuwa ni ushenzi mkubwa.
Wasisahau Tanzania wakati wa Mwalimu Nyerere walikuwa mstari wa mbele kuigomboa nchi yao kwa makaburi.

Pili wananchi hawana haki ya kujichulia hatua mkononi. Serikali
 
Ulizeni Sasa kama ule ujinga wa kina Nyerere wa kuwasaidia Bure Bure kama umefanya Mtanzania asipewe kichapo
 
Yes, tatizo liko hapo. Kuingia bila kufuata utaratibu.
Na ni weusi wenzao tu ndio wameingia bila kufuata sheria?? By the way,huwezi kuingia bila passport ispokuwa mda umeisha,na hii wapo wachina wahindi wapakistani wengi tu. Sasa wao wanapiga weusi tena raia kupiga raia mwenzake du... Watu weusi tunatatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…