Kimenuka! leo hii Wa-south africa wafanya Msako wa kutafuta raia wa kigeni wasio na vibali, Mtanzania apigwa

Kimenuka! leo hii Wa-south africa wafanya Msako wa kutafuta raia wa kigeni wasio na vibali, Mtanzania apigwa

Kwa hiyo unataka kusema kwamba CCM iliwasaidia Watu weusi wa Afrika Kusini ili kujitengenezea Mazingira ya watu wao kutoka Tanzania kuweza kwenda huko kwa ajili ya kufanya uhalifu??
Nop namaanisha watumie utaratibu hata kama ni kitu sahihi wanafanya.
 
Mbona wazungu hawavamii wageni, hao weusi ni wahuni tuu wameona fursa ya kupora wageni tuu, acha vyombo vya serikali sio hao wahuni ambao hata kazi wakipewa hawafanyi, na ukweli wageni wengi south ni vijana maskini wanaojifanyia biashara zao na umachinga, hawajaajiriwa kwenye makampuni yao, weusi ni wapumbavu sana
Usitafute huruma ndugu mbele ya sheria. Washauri vijana wafuate sheria za uhamiaji vinginevyo wataendelea kuumia. Na usiwapangie wao kuhusu juu ya nani wa kuanza naye. Ni nchi yao. Na hata ukiwaita wahuni haisaidii kitu.
 
Serikali ya south africa baada ya kuapata uhuru walifanya makosa kuruhusu watu kuingia hovyo nchini kwao,tatizo kama hilo liko Australia na Canada waliruhusu wahindi wamekuwa wengi kiasi huwezi amini kama upo Australia au Canada
Wewe unahoja
 
Hapo ndo mjue wazungu ni watu wakalimu duniani,,nahapo angefanyanya mzungu mungeona dunia inavyolalamika
 
Usitafute huruma ndugu mbele ya sheria. Washauri vijana wafuate sheria za uhamiaji vinginevyo wataendelea kuumia. Na usiwapangie wao kuhusu juu ya nani wa kuanza naye. Ni nchi yao. Na hata ukiwaita wahuni haisaidii kitu.
Hakuna sheria ya raia kuchoma na Kuiba biashara za watu au kupiga wahamiaji wasio na vibali, ni kazi ya maofisa wa serikali, hao ni wahuni tuu na wameanza kukamatwa pia na kuwekwa jela pia
 
Hakuna sheria ya raia kuchoma na Kuiba biashara za watu au kupiga wahamiaji wasio na vibali, ni kazi ya maofisa wa serikali, hao ni wahuni tuu na wameanza kukamatwa pia na kuwekwa jela pia
Suluhisho la muda tu hilo.
Kama una ndugu yako huko na unataka awe salama mwambie afuate sheria, arasmishe uhamiaji wake.
 
Huyo msela wa kinondoni badala ya kukimbia anajifanya mbishi na kiingereza chake cha kinondoni shamba. Watamuua😂😂 eti what i do..😀😂 shenzi ondoka nchini kwa watu kama huna cha kufanya njoo bongo nunua hata kokoto unaziuza mjini maisha sio lazima sauzi mnakoenda kuuza madawa ya kulevya na kugeuka wezi na watumwa nchini kwa watu watawaua wenyewe wamechoka.
 
Huyo mmoja wanaempiga kaiba?
Mbona kuna wenzake wanamwambia akimbie ?
Kwanini hao wenzake wasikamatwe kama ni kusaka wageni, huyo atakuwa kibaka tu kaiba
 
Qumamae zao hawa wasouth. Watanzania tusikubali. Nasisi tuanze kuwaua hawa mashoga wa South. Watoto wa kino anzeni na yule.msouth anaeishi hapo Mkwajuni.
Safi sana mkuu kwa kurudisha hii avatar picha yako tuliyoizoea ya mwanzo kabisa ulipojiungaga JF. Unakumbuka nikikumbushaga kuhusu hii avatar picha uirudishe?

Usipeleke watoto English medium peleka madogo kayumba.

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom