Kimenuka! leo hii Wa-south africa wafanya Msako wa kutafuta raia wa kigeni wasio na vibali, Mtanzania apigwa

Qumamae zao hawa wasouth. Watanzania tusikubali. Nasisi tuanze kuwaua hawa mashoga wa South. Watoto wa kino anzeni na yule.msouth anaeishi hapo Mkwajuni.
Hiyo Sasa ndio akili
 
Watu weusi wa south Africa bado wana ile mentality kuwa wageni wanakuja south Africa kuchukua Ajira zao .

Zamani maiaka 1900s kuja early 2000s kwenda south ilikuwa ni ndoto ya vijana wengi hustler.
Wameshasahau kuwa nao walikuwa wageni na wakimbizi kwenye nchi nyingine.

Vv
 
Acha uongo!


View: https://x.com/PSAFLIVE/status/1852784939596726301
 
Kuishi SA Bora Somalia au kukaa kikao pamoja na Shetani utamshinda kwa maombi. Ila SA ni balaa.
 
Jamii ya kusini mwa Africa wanaugua ugonjwa wa uvivu na wivu aka unyumbuphobia. Wakiondoka wageni wote hiyo nchi itakuwa ni useless uchumi utaanguka vibaya sana kwasababu wageni ndio kama oxygen huko kwao. Mefi hao.
Well said... Na Serikali inajua Hilo kwamba siku Wageni wote wakiamua kuondoka, Uchumi wa South Africa upo Matatizoni, ndo maana huoni Matamko ya Viongozi wa juu wa Serikili kwenye issue kama hii....!

Na Wanawajua Raia wao walivyo Wavivu.
 
Wapumbavu wanaposhindwa wao kujikwamua na kutimia akili basi huzsingizia wa kuja
Hivi serikali yetu inashindwa kutoa tamko na kupeleka ndege kuwasomba watz warudi tu kuliko kufa hovyo huko
Wawafanyie uungwana tu
 
Unauhakika gani hana documents, au tu kwakua wewe ni mjinga na ni rahisi kuhamasika na habari za mitandaoni?
Watanzania wengi Passport zao Zime expire Kwa maana ya 90 free Visa, kuliko kubeba Passport ambayo itaonyesha Ume over stay, wengi wanaamua tu kutembea huku wakiacha Passport zao Maghetoni.

Wengine wengi ndo hawana Passport Kabisa, hasa wale walioondoka kabla ya Passport Mpya...!
 
Kukaa bila kibali ni uhalifu
 
Kote nikikozunguka nathubutu kusema hakuna nchi nzuri kama Tanzania na hakuna watu wakarimu kama watanzania jamani tujivunie nchi yetu.

Ni Tanzania pekee ambako watu mnaweza kukutana leo lakini mkawa na bond kama vile mnajuana miaka 20 iliyopita.

Ni Tanzania pekeee ambako ukipata tatizo watu wanakukimbilia kukusaidia na kuwahishwa hospital chap na bado wakaja kukutembelea hata kama walikuwa hawakujui.

Ni Tanzania pekee ambako mtanzania anaweza kumficha muethiopia chini ya uvungu wa kitanda asikamatwe na uhamiaji akaenda jela

Ila huko kwengine ni hatari watu hawana utu.
 
Uhamiaji haramu sawa ni kosa ila wanachofanya South Africa ni unyama na inaonesha uhalisia wa ngozi nyeusi.
Wangefanya wazungu tungepiga kelele kwamba ni wabaguzi ila kwa vile ni weusi wenzetu tunaona sawa.

Huko Ulaya wazamiaji na wahamiaji haramu wanaifadhia kwenye mahotel ya Nyota nne wakati wakisubiri taratibu za kurejeshwa makwao au kupewa uraia ila sisi watu weusi tupigana kama wanyama.

Halafu unakuta Serikali ya South Africawanajidai kutetea haki za watu huko Gaza wakati wao wanawanyanyasa waafrica wenzao.
 
Kwa hiyo unataka kusema kwamba CCM iliwasaidia Watu weusi wa Afrika Kusini ili kujitengenezea Mazingira ya watu wao kutoka Tanzania kuweza kwenda huko kwa ajili ya kufanya uhalifu??
 

Navyofahamu mimi, Waethiopia huwa wanapita tu hapa, wako njiani.....Sidhani wanakuja huku kwa ajili ya kuhamia...
 
Siungi mkono kinachowatokea ndugu zetu hasa kupigwa, lakini iko wazi kuwa wimbi la wahamiaji haramu linatishia ukosekanaji wa fursa za kazi kwa wenyeji. Na kwakweli tatizo hili ni kubwa South Africa.
Mbona wazungu hawavamii wageni, hao weusi ni wahuni tuu wameona fursa ya kupora wageni tuu, acha vyombo vya serikali sio hao wahuni ambao hata kazi wakipewa hawafanyi, na ukweli wageni wengi south ni vijana maskini wanaojifanyia biashara zao na umachinga, hawajaajiriwa kwenye makampuni yao, weusi ni wapumbavu sana
 
Wanampiga huyo jamaa kwa sababu mgeni tuu bila vibali au kuna kitu kafanya?
 
Ubaguzi, mtu mweusi hampendi mweusi. Huwezi kuta mweusi anampiga mzungu, mchina au muhindi.
Sisi miafrika ni mijinga sana.
 
Wanampiga huyo jamaa kwa sababu mgeni tuu bila vibali au kuna kitu kafanya?
Ubaguzi, mtu mweusi hampendi mweusi. Huwezi kuta mweusi anampiga mzungu, mchina au muhindi.
Sisi miafrika ni mijinga sana.
Siyo siri, watu weusi wengi ambao ni Wahamiaji nchini Afrika ya Kusini wengi wao ni wahalifu. Tabia hizi za uhalifu wanazo pia raia weusi wa nchi hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…