Kimenuka: Mchezaji Geremi Njitap ataka kumtaliki mkewe baada ya kubaini watoto mapacha aliowakuza kwa miaka 16 sio wake'

Kimenuka: Mchezaji Geremi Njitap ataka kumtaliki mkewe baada ya kubaini watoto mapacha aliowakuza kwa miaka 16 sio wake'

Ignorance a Bliss....; Sasa hapo baada ya yote mwenye faida ni nani ? Binafsi ni true believer kwa anayetunza ndio baba wa kweli kuliko Sperm Donor yoyote.... (That's just my Perception)...; Jiulize hapo watoto wana Kosa gani Mama yao maybe (Lakini kututangazi Jamii their Dirty Laundry is not Kosher...)
 
Unapo-quote vitu vya maana usipende kutumia Biblia ama Qur'an......hivi ni vitabu tu vilivyoletwa na wanadamu na shetani, havina umuhimu wowote maishani mwako. Mungu kakupa akili, use it.....si Biblia wala Qur'an itakayo ongoza maisha yako, ukiruhusu hayo you are finished kwa sababu dini ufanya watu kuwa wajinga daima. Nikuulize, ukijuwa mkeo anatombwa na wanaume wengine na watoto uliokuwa unawalea maisha yako yote si wako, bado utaishi naye kwa akili huku moyoni unaumia?
Safi sana
 
Ndiyo maana mimi nilipima DNA watoto wangu wote kabla ya kumjengea nyumba mke wangu kwao. Nakataa kabisa kuwa siwezi na sitaki kulea mtoto wa mwanamme mwenzangu na siku nikigundua mke wangu anachapwa na mtu mwingine ndiyo mwisho wa ndoa yetu.
Swala la kuchwapwa usiwe na wasiwasi hakuna ndoa ya Miaka kumi ambayo hawajakuotea
 
M
H

Kuchapiwa mke sio sababu ya kuvunja NDOA Mkuu, na hakuna sababu yoyote au kosa au mashtaka au kitu chochote chenye UHALALI wa kuvunja NDOA ya AGANO (i.e mke na mume waliounganishwa na MUNGU)

muhimu ni kusamehe na kumwachia MUNGU B'se yeye ndie mwenye kutoa hukumu ya haki pekee ake,

wewe ni binadamu na hujakamilika unawezaje kumuhukumu mwenzako? Je wewe hujawahi kukosea? 🤷

Yohana 8.7
"Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe"

swala NDOA sio la kukulupuka linahitaji muda wa kutosha ili kuhakikisha huyo unaenda kuunganika nae na kua mwili mmoja Hakika ni SAHIHI,

1petro 3.7
"Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili"✍️
MAandiko katika bibilia yanasema hivi

" “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’. Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.'

Mathayo 5:31-32


Sababu ya takala kwa mujibu wa YESU ni UZINZI.Yesu anafundiaha kuwa ukigundua / kuwa na ushahidi juu ya uzinzi wa mkeo basi MPE TALAKA fastaa.
 
M

MAandiko katika bibilia yanasema hivi

" “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’. Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.'

Mathayo 5:31-32


Sababu ya takala kwa mujibu wa YESU ni UZINZI.Yesu anafundiaha kuwa ukigundua / kuwa na ushahidi juu ya uzinzi wa mkeo basi MPE TALAKA fastaa.
Mathayo

5.31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

5.32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.

Bro check vizuri biblia yako " isipokua kwa habari ya uasherati" biblia haisemi "isipokua kwa Habari ya uzinzi"

Kuna tofauti kubwa kati ya uzinzi na uasherati Mkuu

Uzinzi > ni kitendo cha wanandoa kufanya tendo la NDOA na mtu ambaye si mme au mke wake( i.e kufanya tendo la NDOA na mtu ambae si mke au mume halali)

Uasherati> ni kitendo cha watu ambao Bado hawajafunga NDOA takatifu ya AGANO kufanya Tendo la NDOA

Sasa hapa YESU alisema isipokuwa kwa sababu ya uasherati ina maana isipokua kwa watu ambao Bado hawajafunga NDOA

Mfano

Watu ambao wapo katika uchumba Bado hawajafunga NDOA mmoja wapo akifanya Tendo la NDOA na akabainika haya mahusiano ndio YESU aliyapa uhalali wa kuvunyika lakini sio mahusiano ya NDOA

Angesema isipokua kwa habari ya uzinzi hapo ingekua halali mwanandoa kuvunja NDOA pindi anapomkuta mwenzake amefanya ngono nje ya NDOA

Undugu wa mke na mume wale waliounganishwa na MUNGU haufuiiiiiii Mkuu
 
Ignorance a Bliss....; Sasa hapo baada ya yote mwenye faida ni nani ? Binafsi ni true believer kwa anayetunza ndio baba wa kweli kuliko Sperm Donor yoyote.... (That's just my Perception)...; Jiulize hapo watoto wana Kosa gani Mama yao maybe (Lakini kututangazi Jamii their Dirty Laundry is not Kosher...)
Wanawake wengi hawajui Kwamba baba mzazi ndie anae bariki

kumpa watoto baba ambaye si wao ni kuwatengenezea mazingira magumu Sana katika MAISHA yao
 
Mathayo

5.31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

5.32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.

Bro check vizuri biblia yako " isipokua kwa habari ya uasherati" biblia haisemi "isipokua kwa Habari ya uzinzi"

Kuna tofauti kubwa kati ya uzinzi na uasherati Mkuu

Uzinzi > ni kitendo cha wanandoa kufanya tendo la NDOA na mtu ambaye si mme au mke wake( i.e kufanya tendo la NDOA na mtu ambae si mke au mume halali)

Uasherati> ni kitendo cha watu ambao Bado hawajafunga NDOA takatifu ya AGANO kufanya Tendo la NDOA

Sasa hapa YESU alisema isipokuwa kwa sababu ya uasherati ina maana isipokua kwa watu ambao Bado hawajafunga NDOA

Mfano

Watu ambao wapo katika uchumba Bado hawajafunga NDOA mmoja wapo akifanya Tendo la NDOA na akabainika haya mahusiano ndio YESU aliyapa uhalali wa kuvunyika lakini sio mahusiano ya NDOA

Angesema isipokua kwa habari ya uzinzi hapo ingekua halali mwanandoa kuvunja NDOA pindi anapomkuta mwenzake amefanya ngono nje ya NDOA

Undugu wa mke na mume wale waliounganishwa na MUNGU haufuiiiiiii Mkuu
Hiyo yangu ni biblia habari njema (BHN). Nenda kafungue kamusi ya Tuki uangalie maana ya neno Uzinzi na uasherati. Inawezekana una uelewa mdogo juu ya lugha ya kiswahili.
 
Mathayo

5.31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

5.32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.

Bro check vizuri biblia yako " isipokua kwa habari ya uasherati" biblia haisemi "isipokua kwa Habari ya uzinzi"

Kuna tofauti kubwa kati ya uzinzi na uasherati Mkuu

Uzinzi > ni kitendo cha wanandoa kufanya tendo la NDOA na mtu ambaye si mme au mke wake( i.e kufanya tendo la NDOA na mtu ambae si mke au mume halali)

Uasherati> ni kitendo cha watu ambao Bado hawajafunga NDOA takatifu ya AGANO kufanya Tendo la NDOA

Sasa hapa YESU alisema isipokuwa kwa sababu ya uasherati ina maana isipokua kwa watu ambao Bado hawajafunga NDOA

Mfano

Watu ambao wapo katika uchumba Bado hawajafunga NDOA mmoja wapo akifanya Tendo la NDOA na akabainika haya mahusiano ndio YESU aliyapa uhalali wa kuvunyika lakini sio mahusiano ya NDOA

Angesema isipokua kwa habari ya uzinzi hapo ingekua halali mwanandoa kuvunja NDOA pindi anapomkuta mwenzake amefanya ngono nje ya NDOA

Undugu wa mke na mume wale waliounganishwa na MUNGU haufuiiiiiii Mkuu
Dah unapindisha sana maana ya maandiko aisee hebu rudi ukae chini usome vizuri maandiko.

Wewe unadhani kuwa wayahudi kipindi cha yesu walikuwa wakiishi kwa mahusiano ya boyfriend na girlfriend kama ilivyo sasa?

JITATHMINI sana na acha kupotosha maandiko ili kufaidisha matamanio ya nafsi yako.
 
Wanawake wengi hawajui Kwamba baba mzazi ndie anae bariki

kumpa watoto baba ambaye si wao ni kuwatengenezea mazingira magumu Sana katika MAISHA yao
What if huyo Baba ni Mme wa Mtu na kufanya unachofanya ni kuvunja familia mbili ?; What if Baba Mzazi hawataki hao watoto ? Narudia tena Mlezi anastahili pongezi za kufa mtu (na Sins of the Parents zisi-determine future ya watoto) Kwahio huyo mama kama angekuwa na Busara angeweza kukubali hata monetary-wise asipate kitu na Mwanaume sababu ushawalea kama wako / ukidhani wako..., DNA isibadilishe mapenzi yako kwao; Kosa alifanya mama yao na sio wao
 
Moja ya kitu ambacho wanawake hawataki kukisikia ni hiki DNA,siku mchakato wa DNA Tz ukiwa mrahisi,ndoa nyingi zitaenda na maji kwani inauma kulea bao la mwenzio.

Wanawake kwa kupiga kelele utawasikia wakitusema wanaume sio waaminifu,kumbe huu mchakato mgumu wa kipimo hiki cha DNA Tz una wasitiri.

Huyu mwamba na body lake,hela aliyokuwa akilipwa plus mzigo wa nguvu aliokuwa akiupiga pale Chelsea ila bado kachapiwa.

Nawaomea huruma wanao hangaika na Gym,michuzi ya pweza,vifurushi vya mihogo na karanga pamoja ana Alkasusu,ila wakae wakijua kama,wanawake zao hawa jitambui wala kuwa na hofu ya Mungu ndani yao kugongewa ni kawaida,haijalishi kama unahela au kitandani una pumzi kwani Geremi ana hivyo vyote.
Watoto walizaliwa miaka minne kabla ya ndoa lakini.
 
Mathayo

5.31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

5.32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.

Bro check vizuri biblia yako " isipokua kwa habari ya uasherati" biblia haisemi "isipokua kwa Habari ya uzinzi"

Kuna tofauti kubwa kati ya uzinzi na uasherati Mkuu

Uzinzi > ni kitendo cha wanandoa kufanya tendo la NDOA na mtu ambaye si mme au mke wake( i.e kufanya tendo la NDOA na mtu ambae si mke au mume halali)

Uasherati> ni kitendo cha watu ambao Bado hawajafunga NDOA takatifu ya AGANO kufanya Tendo la NDOA

Sasa hapa YESU alisema isipokuwa kwa sababu ya uasherati ina maana isipokua kwa watu ambao Bado hawajafunga NDOA

Mfano

Watu ambao wapo katika uchumba Bado hawajafunga NDOA mmoja wapo akifanya Tendo la NDOA na akabainika haya mahusiano ndio YESU aliyapa uhalali wa kuvunyika lakini sio mahusiano ya NDOA

Angesema isipokua kwa habari ya uzinzi hapo ingekua halali mwanandoa kuvunja NDOA pindi anapomkuta mwenzake amefanya ngono nje ya NDOA

Undugu wa mke na mume wale waliounganishwa na MUNGU haufuiiiiiii Mkuu
Kwa alizungumzia talaka kwa mtu ambaye hamjaoana?
 
Watoto walizaliwa miaka minne kabla ya ndoa lakini.
Kwa hiyo ndio kigezo cha kuwakubali au ulitaka wazaliwe ndani ya ndoa?

Definition ya ndoa kiserikali ukikaa na mwanamke kwa miezi sita ,tayari ushaoa.
 
Kwa hiyo ndio kigezo cha kuwakubali au ulitaka wazaliwe ndani ya ndoa?

Definition ya ndoa kiserikali ukikaa na mwanamke kwa miezi sita ,tayari ushaoa.
Unamlaumu vipi mwanamke kwa watoto aliozaa kabla hujamuoa. Mwanamke kabla hajaolewa anakuwaga na alternative
 

Ndoa ya Nyota wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Cameroon, Geremi Njitap ipo katika mchakato wa talaka baada ya kubainika Watoto Mapacha waliozaliwa Mwaka 2008 miaka minne kabla ya kufunga ndoa na mkewe, Toukam Fotso Laure Verline si wake Kibaiolojia

Geremi (45) amefungua kesi Mahakamani akitaka ndoa ivunjike baada ya Vipimo vya Vinasaba (DNA) kuonesha Mapacha hao ambao mkewe alimuaminisha ni wa kwake, ni wa mwenza wa zamani wa Toukam

Nyaraka zilizovuja Mtandaoni zimeonesha Geremi amelalamika kukosewa heshima na mkewe ambaye alikuwa akimtolea lugha ya dharau mbele ya Watoto hao pia walikuwa na migogoro ya mara kwa mara

Geremi akiwa Beki wa Kulia mwenye uwezo wa kucheza nafasi ya Kiiungo Mkabaji alicheza pia katika Timu za Real Madrid, Middlesbrough na Newcastle United
---

Geremi Njitap has reportedly sent his wife packing after allegedly finding out he fathered twins that were never his during their 12 years of marriage.

Former Cameroonian footballer Geremi Njitap, known for his stellar career with Chelsea, has made the headlines, this time for some shocking details about his personal life.

The 45-year-old former Blues right back has sparked controversy over his recent divorce filing against his wife of 12 years, Toukam Fotso Laure Verline.

The couple's union, once seen as a symbol of love and stability, has reportedly crumbled under the weight of startling revelations that have sent shockwaves through the Cameroonian media landscape.

In a bombshell revelation detailed in court documents obtained exclusively by Cameroon News Agency and as reported by Mimimemofo Infos, Njitap alleges a series of disturbing events that have led to the demise of his marriage to Toukam Fotso Laurie Verline, the daughter of the late Cameroonian billionaire, Fotso Victor.

Geremi Njitap and his wife Toukam Fotso Laurie Verline are at crossroads over an alleged paternity fraud

Among the most shocking claims is Njitap's assertion that the twins the couple welcomed in 2008 are not biologically his, as previously believed.

Instead, Geremi alleges that a DNA test reveled that the twins are the offspring of his wife's previous partner, a revelation that has stunned fans and followers alike.
According to court documents obtained by the aforementioned outlet, is Toukam Fotso Laure's alleged deceit regarding the paternity of their twin children.

A DNA test reportedly proved Geremi Njitap is not the biological father of his wife’s twins

Born on June 5, 2008, four years before their marriage, Toukam presented the twins as her own, allegedly misleading Njitap into believing they were his biological offspring.

But the drama doesn't end there.

In the documents obtained from aforementioned outlet, Njitap paints a picture of marital discord, citing his wife's alleged rejection of sexual intimacy as a major point of contention in their relationship.

Geremi Njitap and his wife Toukam Laurie Verline are at crossroads over an alleged paternity fraud

Furthermore, the former Indomitable Lion alleges verbal mistreatment at the hands of his spouse, claiming that he has been subjected to insults and derogatory language in front of their children.

Geremi Njitap alleged via the divorce papers that he had endured series of verbal abuse from his wife during their 12 years of marriage. These explosive allegations have cast a shadow over what was once perceived as a picture-perfect marriage.

During his playing days, Geremi Njitap was known for his versatility, being able to to play at right back, right midfield or defensive midfielder.
ndo maana hatupimi hata ngoma bora maisha yaendelee,japo vipimo vya DNA tanzania kwa mtanznia havijawahi mkataa mtoto siyo wako
 
Back
Top Bottom