Tetesi: Kimenuka Mtama: Nape akatisha shughuli za Serikali na kuitisha mkutano wa hadhara

Tetesi: Kimenuka Mtama: Nape akatisha shughuli za Serikali na kuitisha mkutano wa hadhara

Kama ni jua basi tungesema jua la Mbunge wa Mtama Nape Nnauye limeanza kuzama na kumfanya kada huyo wa CCM kuweweseka. Hii ni baada ya Wazee wa kabila la Wamwera kumpiga "stop" asihudhurie shughuli ya 40 ya mtangulizi wake Hayati Bernard Membe inayofanyika kesho 26/3/2023 kijijini Rondo-Chiponda.

Taarifa kutoka Rondo zinaeleza kwamba Nape ameitisha mkutano wa dharura wa hadhara hapa hapa Chiponda mita kadhaa kutoka nyumba ya Membe ambapo hadi ninaleta Uzi huu vijana wanapita na vipaza sauti kualika watu.

Aidha, imeelezwa kwamba Nape anatarajia kutumia mkutano huo "kuwajibu" wananchi wa Mtama kuhusu madai na malalamiko ya kuwadharau, kuwapuuza katika mambo ya maendeleo.

Kwa taratibu za Wamwera siku moja kabla ya shughuli ya 40 machifu hukutana "kufanya yao" na kwamba Nape amepanga kuvamia kikao hicho cha machifu.

Mmoja wa wanafamilia ya Membe amesema, "kama familia tuna wasiwasi sana na Mpango huu wa Mbunge wetu Nape wa kutaka kuvuruga shughuli hii ya kifamilia kesho na hata wazee wameanza kuingiwa hofu ya kushughulikiwa kwa kauli za mara kwa za kumkataa Nape kuwa arudi kwao Misungwi Mwanza kwa mama yake mzazi".

Duru za siasa Mtama zinadai kwamba Nape anamhofia mdogo wa marehemu Stephen Membe anayedaiwa kutaka kutwaa hilo Jimbo kupitia CHADEMA ambapo tayari amejiunga na chama hicho.

My take: Usalama wa Jeshi la Polisi katika tukio hilo ni muhimu sana Toka sasa Hadi kesho na siku zote.
Huyo mtoto arudi kwao Busokelo Mbeya hiyo ardhi siyo ya baba yake imemkataa!!
 
Kama ni jua basi tungesema jua la Mbunge wa Mtama Nape Nnauye limeanza kuzama na kumfanya kada huyo wa CCM kuweweseka. Hii ni baada ya Wazee wa kabila la Wamwera kumpiga "stop" asihudhurie shughuli ya 40 ya mtangulizi wake Hayati Bernard Membe inayofanyika kesho 26/3/2023 kijijini Rondo-Chiponda.

Taarifa kutoka Rondo zinaeleza kwamba Nape ameitisha mkutano wa dharura wa hadhara hapa hapa Chiponda mita kadhaa kutoka nyumba ya Membe ambapo hadi ninaleta Uzi huu vijana wanapita na vipaza sauti kualika watu.

Aidha, imeelezwa kwamba Nape anatarajia kutumia mkutano huo "kuwajibu" wananchi wa Mtama kuhusu madai na malalamiko ya kuwadharau, kuwapuuza katika mambo ya maendeleo.

Kwa taratibu za Wamwera siku moja kabla ya shughuli ya 40 machifu hukutana "kufanya yao" na kwamba Nape amepanga kuvamia kikao hicho cha machifu.

Mmoja wa wanafamilia ya Membe amesema, "kama familia tuna wasiwasi sana na Mpango huu wa Mbunge wetu Nape wa kutaka kuvuruga shughuli hii ya kifamilia kesho na hata wazee wameanza kuingiwa hofu ya kushughulikiwa kwa kauli za mara kwa za kumkataa Nape kuwa arudi kwao Misungwi Mwanza kwa mama yake mzazi".

Duru za siasa Mtama zinadai kwamba Nape anamhofia mdogo wa marehemu Stephen Membe anayedaiwa kutaka kutwaa hilo Jimbo kupitia CHADEMA ambapo tayari amejiunga na chama hicho.

My take: Usalama wa Jeshi la Polisi katika tukio hilo ni muhimu sana Toka sasa Hadi kesho na siku zote.
Asili ya mama mzazi wa Nape ni mkoa wa Singida.

Yeye ni Mnyiramba.
Baba mzazi wa Nape ni Moses Nnauye (marehemu) ambaye alistaafu utumishi wa umma akiwa Brigedia Jenerali wa Jeshi.

Asili ya baba yake Nape ni mkoa wa Lindi, yeye ni Mmakonde wa Chiuta, Nyangamara. Mzee Nnauye ni mmoja kati ya wanasiasa mashuhuri wa kizazi kinachoondoka, kazi yake ya kwanza ilikuwa ni “ukuli” wa bandari ya Lindi na Mtwara. Baadaye alisoma kidogo na kushiriki kwenye harakati za kudai uhuru akiwa kijana mdogo na baada ya Uhuru alikuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana wa Tanu.

Sasa Wale wazee wa kule Chiponda wanayo haki ya kumkataa Nape sababu sio mkazi wa Chiponda.
Amezaliwa Singida na kukulia huko pamoja na Mwanza.
 
Lengo lako ni kutupa hii habari kuwa wananchi hawampendi au lengo ni kutuambia kuwa mama yake yupo Misungwi?
Asili ya mama mzazi wa Nape ni mkoa wa Singida, yeye ni Mnyiramba.
Baba mzazi wa Nape ni Moses Nnauye (marehemu) ambaye alistaafu utumishi wa umma akiwa Brigedia Jenerali wa Jeshi. Asili ya baba yake Nape ni mkoa wa Lindi, yeye ni Mmakonde wa Chiuta, Nyangamara. Mzee Nnauye ni mmoja kati ya wanasiasa mashuhuri wa kizazi kinachoondoka, kazi yake ya kwanza ilikuwa ni “ukuli” wa bandari ya Lindi na Mtwara. Baadaye alisoma kidogo na kushiriki kwenye harakati za kudai uhuru akiwa kijana mdogo na baada ya Uhuru alikuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana wa Tanu.
 
Asili ya mama mzazi wa Nape ni mkoa wa Singida.

Yeye ni Mnyiramba.
Baba mzazi wa Nape ni Moses Nnauye (marehemu) ambaye alistaafu utumishi wa umma akiwa Brigedia Jenerali wa Jeshi.

Asili ya baba yake Nape ni mkoa wa Lindi, yeye ni Mmakonde wa Chiuta, Nyangamara. Mzee Nnauye ni mmoja kati ya wanasiasa mashuhuri wa kizazi kinachoondoka, kazi yake ya kwanza ilikuwa ni “ukuli” wa bandari ya Lindi na Mtwara. Baadaye alisoma kidogo na kushiriki kwenye harakati za kudai uhuru akiwa kijana mdogo na baada ya Uhuru alikuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana wa Tanu.

Sasa Wale wazee wa kule Chiponda wanayo haki ya kumkataa Nape sababu sio mkazi wa Chiponda.
Amezaliwa Singida na kukulia huko pamoja na Mwanza.
Umepotosha sana! Mzee Nnauye hakuwahi kuzaa mtoto aina ya Nape! Nape babake kwao Busokelo.
 
Nape ni kifupi cha neno Nnapelepe na hana uhusiano wowote na Tukuyu, ni mmakonde Pure tena kutoka Wilaya ya Tandahimba, Zamani eneo alilotokea ilikuwa wilaya ya Newala. Mzee Nnauye ni Mmakonde pure, na hayo majina yote ni Kimakonde tena cha Newala.

Chuki kama hizi haziwezi kuleta nafuu yenu ya Maisha.
 
Hatakiwi huko akagombee Tukuyu au Singida
Mbeya hatuna Jimbo la Tukuyu. Huu ndiyo upuuuzi unaoendelea unaoasisiwa na watu wenye nia ovu ya kuipasua nchi hii vipandevipande.
Sidhani kama Sheria za Tanzania zinaubagizi kwenye Uchaguzi kwa ngazi ya Ubunge na Urais ispokuwa inatakiwa uwe Mkazi wa Eneo husika. Mfano Mbunge wa Kawe siyo Mzaramo wala Mkwere, Waitara alivyokuwa Chadema siyo mkazi wa Mbagala lakini alishinda Jimbo n.K.
NB: Tunakoelekea tutaanza kulizana siyo Ukoo tu bali hata Kabila
 
Nilikwisha kuambieni kuwa Nape hawezi kushindana na TEC.
Sasa mwanzo huu si mzuri!
 
Hizi habari za kumhusisha Prof Mwandosya na Nape Nnauye hazina ukweli. Nape kuzaliwa mwaka 1978. Mwaka 1978 Prof Mwandosya alikuwa Lecturer UDSM baada ya kurudi kutoka England alikokuwa anasoma.

Ni NNAPELEPE NNAUYE.
NNAUYE = MSIRUDI Kimakonde
NNAPELEPE - Ntauliza ila ni Kimakonde Pure.

Nape na Mwandosya hawana uhusiano wowote ni kashfa tu ambazo mara nyingi hudandiwa na wapinzani.

Nape amefanana na Mzee Nnauye kwa kila kitu.View attachment 2728293
Asante kwa kutuelewesha lakini nina swali moja,ilikuwaje kwenye kumbukumbuku ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Nnauye,watoto wote wa Marehemu walitoa tangazo la shukrani na wakajiorodhesha majina yao na Nape hakuwemo? Je ilikuwa ni bahati mbaya tu kwa wenzie kuacha kumweka kwa ile list.Lile tangazo lilitoka kwa gazeti moja na kipindi hicho liliibua mjadala mzito sana hapa JF.
 
Arobaini nadhani haitumiki kama namba. Ndiyo maana, wengine baada ya kumzika marehemu, inaweza kupita hata miezi mitatu. Wanapoenda kujengea kaburi la marehemu, bado wanasema wanaenda kwenye arobaini ya marehemu.

Ni sawa na ule msemo wa, 'za mwizi arobaini', haina uhusiano na namba 40.

Kwenye biblia (japo hii haina uhusiano na hiki kinachoitwa arobaini ya marehemu), arobaini ni namba inayoashiria ukamilifu.

Wayahudi walisafiri jangwani kwa miaka AROBAINI, Yesu alifunga kwa siku AROBAINI. Wayahudi walimsubiri masiha kwa miaka elfu AROBAINI.
Life begins at 40
 
Lengo lako ni kutupa hii habari kuwa wananchi hawampendi au lengo ni kutuambia kuwa mama yake yupo Misungwi?

Ety akagombeee kwa mama ake huko misungwi [emoji82]
Hawa chawa wa chadema hawajifunzi tuh kua masuala ya ubaguzi yanaleta mpasuko
Walianza kumsema mama arudi pemba
Leo nape arudi msumbwi
 
Back
Top Bottom