jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Mama.yake ni wa Singida dingi ndiyo Tukuyu
Huko mtama ilikuaje tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama.yake ni wa Singida dingi ndiyo Tukuyu
Nape ni mtoto wa nje wa Mzee Moses Nnauye (RIP), kwa familia za Kiafrika au Kitanzania kumtenga mtoto wa nje ni kitu cha kawaida sana.Asante kwa kutuelewesha lakini nina swali moja,ilikuwaje kwenye kumbukumbuku ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Nnauye,watoto wote wa Marehemu walitoa tangazo la shukrani na wakajiorodhesha majina yao na Nape hakuwemo? Je ilikuwa ni bahati mbaya tu kwa wenzie kuacha kumweka kwa ile list.Lile tangazo lilitoka kwa gazeti moja na kipindi hicho liliibua mjadala mzito sana hapa JF.
Beba lolote nenda nalo toilet Kisha KAKATE G.O.G.O.Lengo lako ni kutupa hii habari kuwa wananchi hawampendi au lengo ni kutuambia kuwa mama yake yupo Misungwi?
Nape ni mtoto wa nje wa Mzee Moses Nnauye (RIP), kwa familia za Kiafrika au Kitanzania kumtenga mtoto wa nje ni kitu cha kawaida sana.
Wale wote wenye kusingizia vitu vibaya watu wengine kwa nia ya kuwakashifu na kuharibu image zao nao watalipwa vivyo Hivyo mara kumi zaidi kabla hawajatwaliwa na Muumba !!Pole Nape naona wanakusingizia sana kuwa wewe ni mtoto wa Tukuyu kwa Mwandosya.
Umbea na majungu unayaweza, si haba.Kama ni jua basi tungesema jua la Mbunge wa Mtama Nape Nnauye limeanza kuzama na kumfanya kada huyo wa CCM kuweweseka. Hii ni baada ya Wazee wa kabila la Wamwera kumpiga "stop" asihudhurie shughuli ya 40 ya mtangulizi wake Hayati Bernard Membe inayofanyika kesho 26/3/2023 kijijini Rondo-Chiponda.
Taarifa kutoka Rondo zinaeleza kwamba Nape ameitisha mkutano wa dharura wa hadhara hapa hapa Chiponda mita kadhaa kutoka nyumba ya Membe ambapo hadi ninaleta Uzi huu vijana wanapita na vipaza sauti kualika watu.
Aidha, imeelezwa kwamba Nape anatarajia kutumia mkutano huo "kuwajibu" wananchi wa Mtama kuhusu madai na malalamiko ya kuwadharau, kuwapuuza katika mambo ya maendeleo.
Kwa taratibu za Wamwera siku moja kabla ya shughuli ya 40 machifu hukutana "kufanya yao" na kwamba Nape amepanga kuvamia kikao hicho cha machifu.
Mmoja wa wanafamilia ya Membe amesema, "kama familia tuna wasiwasi sana na Mpango huu wa Mbunge wetu Nape wa kutaka kuvuruga shughuli hii ya kifamilia kesho na hata wazee wameanza kuingiwa hofu ya kushughulikiwa kwa kauli za mara kwa za kumkataa Nape kuwa arudi kwao Misungwi Mwanza kwa mama yake mzazi".
Duru za siasa Mtama zinadai kwamba Nape anamhofia mdogo wa marehemu Stephen Membe anayedaiwa kutaka kutwaa hilo Jimbo kupitia CHADEMA ambapo tayari amejiunga na chama hicho.
My take: Usalama wa Jeshi la Polisi katika tukio hilo ni muhimu sana Toka sasa Hadi kesho na siku zote.
Habari hizi ni za uzushi mkuu, Nape kipenzi cha wana Mtama, Nape huyu ambaye baada ya kuondolewa wadhifa wa uwaziri na mwendazake, mama, dada,bibi zenu walilala chali Nape akapita juu ya makalio yao kuonyesha upande kwa mtoto wao leo hii unasema wana Mtama wanamtaka arudi Misungwi? huu ni uongo lazima wewe utakuwa chawa wa Stephen Membe au ndie Stephen Membe mwenyewe. Narudia tena Nape hang'oki Mtama, huyo nae sana.Kama ni jua basi tungesema jua la Mbunge wa Mtama Nape Nnauye limeanza kuzama na kumfanya kada huyo wa CCM kuweweseka. Hii ni baada ya Wazee wa kabila la Wamwera kumpiga "stop" asihudhurie shughuli ya 40 ya mtangulizi wake Hayati Bernard Membe inayofanyika kesho 26/3/2023 kijijini Rondo-Chiponda.
Taarifa kutoka Rondo zinaeleza kwamba Nape ameitisha mkutano wa dharura wa hadhara hapa hapa Chiponda mita kadhaa kutoka nyumba ya Membe ambapo hadi ninaleta Uzi huu vijana wanapita na vipaza sauti kualika watu.
Aidha, imeelezwa kwamba Nape anatarajia kutumia mkutano huo "kuwajibu" wananchi wa Mtama kuhusu madai na malalamiko ya kuwadharau, kuwapuuza katika mambo ya maendeleo.
Kwa taratibu za Wamwera siku moja kabla ya shughuli ya 40 machifu hukutana "kufanya yao" na kwamba Nape amepanga kuvamia kikao hicho cha machifu.
Mmoja wa wanafamilia ya Membe amesema, "kama familia tuna wasiwasi sana na Mpango huu wa Mbunge wetu Nape wa kutaka kuvuruga shughuli hii ya kifamilia kesho na hata wazee wameanza kuingiwa hofu ya kushughulikiwa kwa kauli za mara kwa za kumkataa Nape kuwa arudi kwao Misungwi Mwanza kwa mama yake mzazi".
Duru za siasa Mtama zinadai kwamba Nape anamhofia mdogo wa marehemu Stephen Membe anayedaiwa kutaka kutwaa hilo Jimbo kupitia CHADEMA ambapo tayari amejiunga na chama hicho.
My take: Usalama wa Jeshi la Polisi katika tukio hilo ni muhimu sana Toka sasa Hadi kesho na siku zote.
Tukuyu sio kwao,bali alilelewa na mzee wa Tukuyu, mwishowe utasema akagombee Lushoto kwani mzee wa kuchovya asali pia kamlea huyu jamaa.Kwani asiende kugombea Tukuyu kwa baba yake mzazi
Nani baba yake?Tukuyu sio kwao,bali alilelewa na mzee wa Tukuyu, mwishowe utasema akagombee Lushoto kwani mzee wa kuchovya asali pia kamlea huyu jamaa.
Anavuna alichopanda na bado sana kama hatotubu ktk kaburi la hayatiKama ni jua basi tungesema jua la Mbunge wa Mtama Nape Nnauye limeanza kuzama na kumfanya kada huyo wa CCM kuweweseka. Hii ni baada ya Wazee wa kabila la Wamwera kumpiga "stop" asihudhurie shughuli ya 40 ya mtangulizi wake Hayati Bernard Membe inayofanyika kesho 26/3/2023 kijijini Rondo-Chiponda.
Taarifa kutoka Rondo zinaeleza kwamba Nape ameitisha mkutano wa dharura wa hadhara hapa hapa Chiponda mita kadhaa kutoka nyumba ya Membe ambapo hadi ninaleta Uzi huu vijana wanapita na vipaza sauti kualika watu.
Aidha, imeelezwa kwamba Nape anatarajia kutumia mkutano huo "kuwajibu" wananchi wa Mtama kuhusu madai na malalamiko ya kuwadharau, kuwapuuza katika mambo ya maendeleo.
Kwa taratibu za Wamwera siku moja kabla ya shughuli ya 40 machifu hukutana "kufanya yao" na kwamba Nape amepanga kuvamia kikao hicho cha machifu.
Mmoja wa wanafamilia ya Membe amesema, "kama familia tuna wasiwasi sana na Mpango huu wa Mbunge wetu Nape wa kutaka kuvuruga shughuli hii ya kifamilia kesho na hata wazee wameanza kuingiwa hofu ya kushughulikiwa kwa kauli za mara kwa za kumkataa Nape kuwa arudi kwao Misungwi Mwanza kwa mama yake mzazi".
Duru za siasa Mtama zinadai kwamba Nape anamhofia mdogo wa marehemu Stephen Membe anayedaiwa kutaka kutwaa hilo Jimbo kupitia CHADEMA ambapo tayari amejiunga na chama hicho.
My take: Usalama wa Jeshi la Polisi katika tukio hilo ni muhimu sana Toka sasa Hadi kesho na siku zote.
Mama misungwi - mwanzai, Baba Tukuyu - Mbeya,Kwani asiende kugombea Tukuyu kwa baba yake mzazi
Mara KKKT mara Nape ..Hamna jipya