Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Hahahaa una uchuki kali kwa dai,wivu kisa ana mafanikio?tell kiba atoe wimbo mpya
Haya umeenda studio unerokodi vijembe kwa mwenzako amekujibu tu twitter umepanic umerudi tena studio umerekodi diss nyingine umejibiwa kwenye insta sasa ukoo mzima umepanic eti "sio poa kumuhusisha mama"

Yani hapo kwa mama Sandra kukunjwa na Dimpoz ndiyo patamu zaidi kwasababu imeumiza ukoo mzima uliochekelea vijembe alivyoanzisha Diamond kwenye nyimbo.
 
Maskin yaan unatiririka tu jinsi mhenga wako alivyofanyiwa pole sana sergio daah hadi huruma ommy mbaya hadi 071 akamla huku unashuhudia hahahaha
Ommy amempagawisha bimkubwa wa Numbisa ndyo maana hapendi sababu amechepuka na bimkubwa wa chibu
 
Acha tu apigwe panapouma maana haya tulishaanza kuyasahau ila kaamua kuyarudisha mwenyew sasa acha tu movie iendelee.... Hamisa alipoambiwa bitch watu walifurahia tu ina maana Hamisa sio mzazi? Ama Sandra ndio mzazi sana kuliko Hamisa? Na kilichomfanya Mondi aanzishe ugomvi ni kitu gani? sasa kama ommy anazo nyingine hata za utupu basi azimwage tu maana hakuna namna!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…