Kimenuka: Robbkardashian na Chyna wachafuana mitandaoni

TI kaingia kichwa kichwa akakutana na mzaramo wa State amechezea za uso katulia duh dizani mwamba ishu imemvuruga anamwaga kuanzia ugali,mboga,maji ya kunawa [emoji23][emoji23] balaa tupu ule ukoo una laana wale inabidi waitwe USA Bahati Mbaya.
 
Nsiku kama ya Jana mwaka 2005 Kanye alitoa Ile wimbo wa Gold digger na Jana tar 5.07.2017 Rob anamwita Wife ake Gold digger, hizi Coincidence hazijawaimwacha mtu Salama
 
Nsiku kama ya Jana mwaka 2005 Kanye alitoa Ile wimbo wa Gold digger na Jana tar 5.07.2017 Rob anamwita Wife ake Gold digger, hizi Coincidence hazijawaimwacha mtu Salama
Kwa hiyo ni kiki au??
 
Ila Chyna mwanamke ana mdomo yule kama wa tandale kwetu huku. .
 
Hiyo ni payback ya blac chyna .Rob alionywa wee na ndugu zake hakusikia. Chyna mwanamme wake alikuwa tyga.na chyna na Kim walikuwa marafiki.halafu hapo hapo tyga amchukue mdogo wa Kim.mwanzo chyna aliumia.payback yake na yeye akaona amchukue bwanyenye Rob na alikuwa Rob Ana stress zake akaingia kichwa kichwa.wendy show alisema hapo hakuna relationship.matokeo yake ndio hayo.chyna alijifanya mtakatifu kwa muda tu. Matokeo yake Rob povu linamtoka.na wabongo nai walikuwa wanaandika kwenye account ya Rob kwa kiswahili.ili break the internet
 
blac chyna nae na threesome zake.atakuwa ana pepo la ngono yule

Kawaida sana America kuna maisha mazuri kuna mda unafika kila kitu ushafanya unaanza kujaribu na vingine [HASHTAG]#Nostresszone[/HASHTAG] pia matumizi ya Cocaine yanasababisha hayo hasa Mji wa LA,Cali ni kawaida hayo mambo
 
Kawaida sana America kuna maisha mazuri kuna mda unafika kila kitu ushafanya unaanza kujaribu na vingine [HASHTAG]#Nostresszone[/HASHTAG] pia matumizi ya Cocaine yanasababisha hayo hasa Mji wa LA,Cali ni kawaida hayo mambo
wewe ushawai kupiga threesome?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…